Kwani si ndo Chama chenu hicho? Mafisadi na majambazi wengi wa huko halafu Hao Hao mnageuka kulaumu CCM eti imewaachilia bila kuwachukulia hatua na sasa mnataka mageuzi.Ukabila?!hakika uvumilivu anaotupa Mungu siku ukikoma tutazungumza vizuri ukabila.Kabisa kijana anajisikia raha kuita wazee wa kichaga
Mageuzi yamekuja na magufuli wa CCM eti ooh dikteta...mlivyo wapuuzi sasa boss wenu hana mkataba wa umiliki wa NHC anakataa kulipa kodi bdo mnamuona anaonewa na mnaona anastahili kuongoza Chama.
Badilikeni....