Duniani kuna nchi 196 zinazotambulika na
Zanzibar si mojawapo. U.N. kuna nchi 193
zinazotambulika na Zanzibar si mojawapo. Afrika
kuna nchi 54 zinazotambulika na Zanzibar si
mojawapo... Find out what i mean...
Lakini tuna rais wetu, bendara yetu, katiba yetu..
Tunajulikana Zanzbar na wananchi wazanzibar, hizo organs zingine siyo lazima by the way inatusaidia nini kuwa member?
Sana sana tunapunguza gharama za ada za mwaka (Tanganyika wanalipa) sisi tunaendesha serikali yetu kwa faida ya nchi na wananchi wetu..
Kwa hiyo usihofu..hatuhitaji kuwa mwanachama wa hayo ma-organs ili kuwa nchi..Zanzibar ni nchi kwa ajili wananchi wa zanzibar..upo..