Democracy999
JF-Expert Member
- May 26, 2012
- 945
- 189
Bora serikali moja tu Tanzania, Zanzibar ni hatari kwa usalama wa nchi ikiendelea kuwa na kajiserikali kadogo na kukumbatia ugaidi
Are they going to defend the Sanctions to their people? Iranians have OIL they can sell in black market 2 feed their
People; what will Zanzibar Government do to feed their people? remember it is an Island so easy to block with US
Navy Ships No food in and OUT !!!
Sasa mkulu akipigwa travel ban na alivyozoea utembezi si miguu itamuota matende!?.Jamani mimi nawish Tanzania iwekewe SANCTIONS kabisa .... na sactions ziwe pamoja na Travel BAN kwa Viongozi wote wa juu wa Serikali ... including Vasco Da Gama!Hii itawasaidia kufungua macho yao na kuanza kutafuta maendeleo kutokana na vyanzo vya ndani.Wanaacha hela huku wanawapa wawekezaji kwa bei ya kutupa alafu wanaenda Ulaya kuomba Vyandarua!!!!!!!...... Shame on them! .... kwa kutufanya Watanzania kudharaulika kwa Mataifa ya nje!.Piga travel ban viongozi& economic embargo kabisa hawa ..... labda watapata akili! .....
.Sasa mkulu akipigwa travel ban na alivyozoea utembezi si miguu itamuota matende!?
zanzibar sio nchi inawezaje kufanya mambo haya???
Inaeleweka wazi kuwa sheria za "Zanzibar" hazi-apply kwenye masuala ambayo yapo nje ya Tanzania. Ndiyo maana hakuna kiongozi yeyote wa Zanzibar (akiwemo Rais & Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi) hana mamlaka ya kuingia mkataba wa kimataifa. Hata bilateral agreements, Zanzibar haina mamlaka ya kusaini. Ndiyo maana kama kuna agreement hata ya kisekta, na nchi hata ikiwa ya jirani kama Kenya, lazima asaini waziri wa muungano. Sasa hayo mamlaka ya kusajili meli without knowldege of Union authority wameyapata wapi? Wasije wakatuletea matatizo hawa.
Huo sio Muungano, hiyo ni jumuiya tu, mbona unatumia njia ya mlango wa nyuma kusema kile kile ambacho wengine tuna balls za kukisema wazi? Tuvunje Muungano!Kwa upande wangu sina tatizo kabisa na Muungano, tatizo ni namna na aina ya Muungano..... nadhani mfumo wa Muungano wetu uwe wa nchi mbili tofauti na kila moja iwe imekamilika "autonomous" na Muungano uwe kama huu tunaoujenga sasa wa Afrika Mashariki.
Bendera ni alama ya kimataifa, mataifa mengine lazima yatambue bendera ya Taifa fulani, nchi moja haiwezi kuwa na bendera mbili au tatu. Kila upande kuwa na bendera yake maana yake ndo tumevunja Muungano, na ndio dawa ya haya matatizo. Jamani mbona tunajidanganya? Utakuwaje na Muungano ambao mmoja anataka "dola huru yenye mamlaka yake kamili"?Iwapo sasa serikali ya Muungano itaipatia Zanzibar mamlaka ya kupeperusha bendera yake nje ya mipaka ya Tanzania, basi mambo ya Muungano yanapaswa kuainishwa wazi kwa jumuiya ya Kimataifa, na Tanganyika itumie bendera yake kwa manbo hayo pia