Baraza la wawakilishi lafunguka: Tusilazimishane katika muungano huu. Watanganyika wanatuhadaa

Mkuu, wanatishia nyau tu hao.
Umesema kweli kabisa, wao ni nchi huru, wana bunge lao tukufu (Baraza la Wawakilishi).
Nashindwa kuelewa kelele zote hizo ni za nini? Fanyeni kama alivyopenedekeza mkuu MM, basi yaishe.

Kajiungeni huko OIC, ili muone kama ninyi ni special zaidi ya YEMEN ambao purely ni waarabu wenzao lakini ni masikini kuliko TZ, au hata Sudan tu ambao tuliosoma nao maeneo fulani walikuwa hawataki kabisa kuitwa wa-Afrika, bali walifurahia kuitwa Wa-Arabu!!!???
Labda hao hawaitaki misaada ya OIC. Au kule afrika ya kati je? Ambako Uislam umeshamiri zaidi ya hapo
Zanzibar. Nao vipi OIC imewasahau. Jamani tumieni akili za tafakuri.

Tatizo kubwa la wa TZ ni kutegemea maendeleo kutoka kwa mjomba zaidi ya kwa juhudi za ndani.
Ndiyo maana hata wanaogombea ubunge katika ahadi zao utawasikia
nitawatafutieni au nitawaletea wafadhili watakao wajengea shule, daraja,
barabara na utumbo mwingine wa aina hiyo.
Wadanganyika semeni ovyo mpaka mchoke. Jamuhuri ya watu Wa Zanzibar kwanza ...shengesha baadae.Mpaka ki - kieleweke
 
MUUNGANO BWANA!!!!!!! Watanganyika na Wazanzibar wanasema MUUNGANO ni kama NDOA. Watanganyika wanatumia maandiko ya Biblia yanayosema nao si wawili tena, wamekuwa mwili mmoja mpaka kifo kitakapowatenganisha. Wazanzibar wanatumia QURAN inayosema unaweza kuoa na kuacha. :flame:

kwa mfano wa koti, Watanganyika wanasema koti likikubana inabidi ujikondeshe ili uendane na size ya koti. Wazanzibar wanasema ukiona koti linakubana huna budi kulivua.:flame:
 
Mimi naunga mkono utaratibu huu, kama kuna matatizo yasemwe kwa namna hii, sio kuchoma nyumba za ibada nk. Am against violence, anything can be resolved through dialogs.

nakuunga mkono,kwani ni bora watu wawe huru kuliongelea swala furani kuliko kuwaminya maana uhuru huu unapunguza jazba na hasira
 
Tunawaona Maprofesa, PHD, MBA na Elimu nyengine, Tanganyika hakuna walilolifanya zaidi ya Ufisadi, Wizi, Ulevi na Ngono uzembe, hawana la maana, maana hata hizo bajeti zenu ni utumbo mtupu tena uharo tuu.

Elimu isio na busara ni sawa sawa na wendawazimu, ndio huo mlio nao Watanganyika.

Kwa idadi ya wasomi mnaongoza lakini hamna la maana lenye kushawishi kuwa linafanya na usomi wenu.

View attachment 56751

Hilo lina- justify ujinga wenu?
 
Ma joka ya kibisa tuu hayoo, kazi yao kulalama lalama na kupiga domo tuu, kama wanaweza walepeke mjengoni hoja ya kutokuwa na imani na muungano
 
hizi kelele za muungano zinanichosha maskioni mwangu..hivi kwanini tusiwaachie hawa jamaa waende na ioc yao na mahakama yao ya kadhi halafu tuone itakuwaje??
 
raza hakuna zanzibar bila tanganyika, bali kuna pemba na unguja na vita ya wenyewe, aache kutafuta umaruufu kwa kupan dikiza chuki.
 
BWANA YESU ANAOKOA, KWA NINI MNAUMIZA AKILI HIVI?KWA NINI MNASONONEKA?KWA NINI MNAHANGAIKA NA HII DUNIA? MPE BWANA YESU MAISHA YAKO NA KUHAKIKISHIA HUTA JUTA,roho ya hasira,chuki na mambo mabaya yataondoka nawe utakuwa mwenye furaha muda wote.KARIBU KANISA LOLOTE LILILOKARIBU NAWE LINALOAMINI WOKOVU.
AU TUWASILIANE KWA EMAIL :johnhella2007@yahoo.com hiyo email naitumia hata facebook ukisearch kwa email hiyo utanipata
 
Hivi, sisi Wa-Tanganyika, tutakosa kitu gani kama Muungano utavunjika! Mbona tunaonekana kama sie ndio tunaulilia sana!
 
am fed up to a point of irritation! Let Zanz go. Fullstop na sirudi tena kwenye uzi huu!
 
Tanganyika ni wakristo ndio wanaulilia muungano na zanzibar (hasa wanazi wa mt. nyerere) sijui kwanini? kuna nini?
 
Back
Top Bottom