Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,469
Habari wadau.
Baraza la usalama la umoja wa mataifa linakutana Leo kujadili matokeo ya uchaguzi Congo DRC na hatma ya Taifa hilo baada ya matokeo.
Matokeo ya awali yanapaswa kutolewa tarehe 06/01/2018 lakini mwenyekiti wa CENI Cornel Nanga anadai huenda wakashindwa kutangaza matokeo siku hiyo kwani wamehesabu 20% tu ya kura. Hii ni tofaiti kabisa na katiba hususani kipengele cha matokeo ya uchaguzi mkuu. Hali hii imeibua wasiwasi nchini humo.
Baadhi ya wananchi wameanza kukimbilia Uganda wakihofia machafuko. Kanisa katoliki lililokuwa na waangalizi 40,000 nchini kote limedai linalo jina la mshindi na huenda wakamtangaza Rais muda wowote.
Kanisa hilo linatumia matokeo yaliyobandikwa kila kituo siku ya jioni baada ya uchaguzi kukamilika.
Baraza la usalama la umoja wa mataifa linakutana Leo kujadili matokeo ya uchaguzi Congo DRC na hatma ya Taifa hilo baada ya matokeo.
Matokeo ya awali yanapaswa kutolewa tarehe 06/01/2018 lakini mwenyekiti wa CENI Cornel Nanga anadai huenda wakashindwa kutangaza matokeo siku hiyo kwani wamehesabu 20% tu ya kura. Hii ni tofaiti kabisa na katiba hususani kipengele cha matokeo ya uchaguzi mkuu. Hali hii imeibua wasiwasi nchini humo.
Baadhi ya wananchi wameanza kukimbilia Uganda wakihofia machafuko. Kanisa katoliki lililokuwa na waangalizi 40,000 nchini kote limedai linalo jina la mshindi na huenda wakamtangaza Rais muda wowote.
Kanisa hilo linatumia matokeo yaliyobandikwa kila kituo siku ya jioni baada ya uchaguzi kukamilika.