Tanzania inaelekea siko?
Kama kungekuwa na Baraza la Taifa la Katiba, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) isingekuwa ovyo!!!
Baraza la Taifa la Katiba linatakiwa liwe na wajumbe wasiofungamana na chama chochote cha siasa.
Baraza la Taifa la Katiba linakuwa ndo Boss wa NEC.
Baraza la Taifa linaweza kuundwa na wajumbe kutoka chama cha wafanyakazi, Chama cha wakulima, chama cha wafanyabiashara, mjumbe kutoka vyombo vya ulinzi, Wajumbe kutoka taasisi za elimu,wanaharakati wa haki za Binadamu, gender na wengine useme.....
Kwa sasa hivi inatakiwa Kwanza kuundwa Baraza la Taifa la Katiba, baada ya hapo tuendelee na mchakato wa kuandika katiba mpya.
Kazi za Baraza la Taifa la Katiba ni:-
-Kuvunja Tume ya Taifa ya uchaguzi na kuunda tume ya muda
-kuteuwa wajumbe wachunguze mapungufu ya uchaguzi wa 2010, ili kuondoa manung'uniko mioyoni mwa watanzania.
-Kuchunguza masuala yanayosemwa kuhusu udini na kutoa Tamko
-Kuunda tume ya ukweli na maridhiano - kuwaambia mafisadi warudishe hela zetu, wabakishiwe kidogo na wasamehewa.
-Kuondoa inflation za bei kwa serikali kutoa ruzuku katika huduma muhimu za jamii kama umeme, sukari,mafuta ya kupikia, gas, fuel, ili kupunguza mfumuko wa bei.
Ewe Dr Slaa, Ewe Prof. Lipumba, Ewe TLP, Ewe NCCR, Ewe CCM - kama mnaitakia Tanzania Mema, anzeni mchakato sasa.
Natumaini ushauri wangu utapokelewa na kufikishwa katika ngazi husika
Kama kungekuwa na Baraza la Taifa la Katiba, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) isingekuwa ovyo!!!
Baraza la Taifa la Katiba linatakiwa liwe na wajumbe wasiofungamana na chama chochote cha siasa.
Baraza la Taifa la Katiba linakuwa ndo Boss wa NEC.
Baraza la Taifa linaweza kuundwa na wajumbe kutoka chama cha wafanyakazi, Chama cha wakulima, chama cha wafanyabiashara, mjumbe kutoka vyombo vya ulinzi, Wajumbe kutoka taasisi za elimu,wanaharakati wa haki za Binadamu, gender na wengine useme.....
Kwa sasa hivi inatakiwa Kwanza kuundwa Baraza la Taifa la Katiba, baada ya hapo tuendelee na mchakato wa kuandika katiba mpya.
Kazi za Baraza la Taifa la Katiba ni:-
-Kuvunja Tume ya Taifa ya uchaguzi na kuunda tume ya muda
-kuteuwa wajumbe wachunguze mapungufu ya uchaguzi wa 2010, ili kuondoa manung'uniko mioyoni mwa watanzania.
-Kuchunguza masuala yanayosemwa kuhusu udini na kutoa Tamko
-Kuunda tume ya ukweli na maridhiano - kuwaambia mafisadi warudishe hela zetu, wabakishiwe kidogo na wasamehewa.
-Kuondoa inflation za bei kwa serikali kutoa ruzuku katika huduma muhimu za jamii kama umeme, sukari,mafuta ya kupikia, gas, fuel, ili kupunguza mfumuko wa bei.
Ewe Dr Slaa, Ewe Prof. Lipumba, Ewe TLP, Ewe NCCR, Ewe CCM - kama mnaitakia Tanzania Mema, anzeni mchakato sasa.
Natumaini ushauri wangu utapokelewa na kufikishwa katika ngazi husika