chaliko
Senior Member
- Apr 1, 2019
- 180
- 802
Habari ndugu zangu wa Jf,
Leo katika kuperuzi kwangu mitandaoni nikaona ngoja nipitie na Website ya NECTA ili na mimi niwe na taarifa za motomoto kutoka huko. Nilifanikiwa kuperuzi hapa na pale na pia kupata maarifa kidogo.
Pia nikaona ngoja nisome kwa mara nyingine VISION na MISSION ya BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA ili nizidi kupata na kujiongezea maarifa.
Baadae nikaona niangalie kwa umakini NEMBO (LOGO) ya BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA, hapa naomba niseme wazi kuwa tangu nimeanza kulifahamu BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA sijawahi kuangalia NEMBO (LOGO) yao kwa umakini.
Lahaula! baada ya kuangalia nimekutana na vitu vinne;
1. Jembe
2. Nyundo
3. Chepe
4. Kitabu
Binafsi nilidhani hii NEMBO / LOGO ingefaa iwe ya WIZARA YA ELIMU NA ikimaanisha Namna ambavyo unaweza kutumia ujuzi uliopata Darasani katika kutatua changamoto za maisha yetu ya kila siku. NECTA wao wangebaki na hicho Kitabu peke yake.
Hivi vitu vya kwenye LOGO / NEMBO vimenifanya nije hapa nikiamini JF ni kisima cha MAARIFA.
Nauliza hivi ndugu zangu,
1. Jembe
2. Nyundo
3. Chepe
Kwenye LOGO / NEMBO ya NECTA vinamaanisha nini?
Leo katika kuperuzi kwangu mitandaoni nikaona ngoja nipitie na Website ya NECTA ili na mimi niwe na taarifa za motomoto kutoka huko. Nilifanikiwa kuperuzi hapa na pale na pia kupata maarifa kidogo.
Pia nikaona ngoja nisome kwa mara nyingine VISION na MISSION ya BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA ili nizidi kupata na kujiongezea maarifa.
Baadae nikaona niangalie kwa umakini NEMBO (LOGO) ya BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA, hapa naomba niseme wazi kuwa tangu nimeanza kulifahamu BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA sijawahi kuangalia NEMBO (LOGO) yao kwa umakini.
Lahaula! baada ya kuangalia nimekutana na vitu vinne;
1. Jembe
2. Nyundo
3. Chepe
4. Kitabu
Binafsi nilidhani hii NEMBO / LOGO ingefaa iwe ya WIZARA YA ELIMU NA ikimaanisha Namna ambavyo unaweza kutumia ujuzi uliopata Darasani katika kutatua changamoto za maisha yetu ya kila siku. NECTA wao wangebaki na hicho Kitabu peke yake.
Hivi vitu vya kwenye LOGO / NEMBO vimenifanya nije hapa nikiamini JF ni kisima cha MAARIFA.
Nauliza hivi ndugu zangu,
1. Jembe
2. Nyundo
3. Chepe
Kwenye LOGO / NEMBO ya NECTA vinamaanisha nini?