Musoma Yetu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2016
- 2,629
- 2,288
Kuna ndugu yangu kapeleka cheti eti kuhakikiwa, toka mwezi wa tano mpaka sasa, eti matokeo bado! Au huu pia ni urasimu?
Yaani kitendo cha kuhakiki tu, ndo miezi miwili? Ama kweli hii ni serikali ya awamu ya tano!!
Duu, yaani maajabu pekee yanayopatikana Tanzania ya viwonder!
Yaani kitendo cha kuhakiki tu, ndo miezi miwili? Ama kweli hii ni serikali ya awamu ya tano!!
Duu, yaani maajabu pekee yanayopatikana Tanzania ya viwonder!