nsimba
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 782
- 55
Kama ni mnayama wewe ni ngiri maana hata hukufikiri unajibu nini. Kwanza nani kasema mimi ni kaka? Au ni hizo hisia na mbu kila wakati unawaza kunyonya tu!
Unanituma nikafanye utafiti gani? au hujui maana ya utafiti? yaani kuona mtihani ulivyovuja miaka hii nahitaji utafiti! Mawazo kama haya niliyasikia Bunge la katiba, nikadhani ni wachache kumbe muko wnegi! Fooool!
Kwa hoja na Mitazamo yako kaka au dada umefulia. Umejidanganya wewe na mtoto wako. Siyo mbaya, ni mitazamo yenu ambayo siyo sahihi, na haiukubaliki, any way.