Katika kuonyesha kwamba shughuli nyingi za serikali zinaendeshwa kisiasa baraza la mitihani tanzania halijatoa matokeo ya mitihani ya ualimu iliyofanyika mwezi mei.Inaweza kuwa wanasubiri maelekezo toka wizarani ili watakapotoa na ajira ziwe tayari,swali ni kuwa iwapo serikali haina fedha za kuajili walimu kwa sasa Baraza watasubiri kutoa matokeo hadi lini?Ni vema shughuli za utendaji zikatenganishwa na siasa