wakati wananchi wana mategemeo labda mbunge wao atakuwepo kwenye baraza jipya la mawaziri sisi wa korogwe vijijini hatuna chetu mbunge wetu ni mbumbumbu ile mbaya wala hajui kilicho mpeleka bungeni
wakati wananchi wana mategemeo labda mbunge wao atakuwepo kwenye baraza jipya la mawaziri sisi wa korogwe vijijini hatuna chetu mbunge wetu ni mbumbumbu ile mbaya wala hajui kilicho mpeleka bungeni
wakati wananchi wana mategemeo labda mbunge wao atakuwepo kwenye baraza jipya la mawaziri sisi wa korogwe vijijini hatuna chetu mbunge wetu ni mbumbumbu ile mbaya wala hajui kilicho mpeleka bungeni
Hivi ni nani aliwachagulia vileeeeee???
Usiseme prof, sema mganga wa kienyeji bana!
maji marefu??Ni yule prof?
Hivi ni nani aliwachagulia vileeeeee???
Haya na waganga wa kienyeji bungeni, makubwa hayo. Afungue kliniki yake hapo bungeni atapata washirikina wenzie. Labda JK aanzishe wizara mpya ya matibabu ya asili ampe huyo jamaa.
wakati wananchi wana mategemeo labda mbunge wao atakuwepo kwenye baraza jipya la mawaziri sisi wa korogwe vijijini hatuna chetu mbunge wetu ni mbumbumbu ile mbaya wala hajui kilicho mpeleka bungeni
akaanze na YULE WA VUNJO!
wakati wananchi wana mategemeo labda mbunge wao atakuwepo kwenye baraza jipya la mawaziri sisi wa korogwe vijijini hatuna chetu mbunge wetu ni mbumbumbu ile mbaya wala hajui kilicho mpeleka bungeni