Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,932
- 4,395
Rais wangu mpendwa naomba ukiona inafaa nikupenyezee ushauri wangu. Yawezekana wasaidizi wako wanaogopa kukushauri....
Kama mwananchi na mdau wa maendeleo kuna mambo mengi sana yanekwama huku katika wizara since July mchakato wa kura za ndani CCM ilivyoanza basi mawaziri wakawa vey much busy. mfano mdogo kuna kampuni iliomba leseni toka February 2020 katika moja ya taasisi yako chini ya viwanda na biashara mpaka leo hajafanikiwa kuipata. Ni kampuni ya kichina ambayo itatoa ajira kwa vijana zaidi ya 800 direct na 6,000 indirect. Waziri alikuwa busy kiasi kwamba asign documents kabisa au pia alikuwa muoga.
Yapo mengi tu. Kutokana na hayo mengi last week ulisikika kuwa hauna haraka ta kuunda baraza la mawaziri. Hapa ndipo naomba nikushauri.... Mh. Rais umebakiza miaka 4 tu. Huna muda tena. Tena mwaka wa 4 ni wa uchaguzi 2025. Uchaguzi ambao Rais anabadilika na serikali kubadila totally mwaka wa mwisho hauna tena development agenda.
Ni watu kujipanga na kupanga safu yao ya 10 years. Hivyo, basi unda baraza la mawaziri as soon as posible. Tena ningekuwa wewe wiki hii hii ili mambo yaende wizarani... Utakaa na makaratasi makabatini kwa muda mrefu afu utakuwa na sura zile zile while una muda mchache sana wa kukaa madarakani. 2015 ilikuwa inaeleweka kuchelewa kwako kuunda baraza la mawaziri manake ndio ilikuwa projection yako ya 10 years ila kwa sasa una muda mchache sana miaka 4 tu.
after all huendi kuteuwa malaika. unaenda kuteuwa wanadamu. watakuwa na mapungufu tu no matter CV zao ni kali kiasi gani.... Tuonakuomba ili mambo yasonge wizarani. Makatibu wakuu kuna mambo hawawezi kufanya hasa katika kutoa vibali mbalimbali
Kama mwananchi na mdau wa maendeleo kuna mambo mengi sana yanekwama huku katika wizara since July mchakato wa kura za ndani CCM ilivyoanza basi mawaziri wakawa vey much busy. mfano mdogo kuna kampuni iliomba leseni toka February 2020 katika moja ya taasisi yako chini ya viwanda na biashara mpaka leo hajafanikiwa kuipata. Ni kampuni ya kichina ambayo itatoa ajira kwa vijana zaidi ya 800 direct na 6,000 indirect. Waziri alikuwa busy kiasi kwamba asign documents kabisa au pia alikuwa muoga.
Yapo mengi tu. Kutokana na hayo mengi last week ulisikika kuwa hauna haraka ta kuunda baraza la mawaziri. Hapa ndipo naomba nikushauri.... Mh. Rais umebakiza miaka 4 tu. Huna muda tena. Tena mwaka wa 4 ni wa uchaguzi 2025. Uchaguzi ambao Rais anabadilika na serikali kubadila totally mwaka wa mwisho hauna tena development agenda.
Ni watu kujipanga na kupanga safu yao ya 10 years. Hivyo, basi unda baraza la mawaziri as soon as posible. Tena ningekuwa wewe wiki hii hii ili mambo yaende wizarani... Utakaa na makaratasi makabatini kwa muda mrefu afu utakuwa na sura zile zile while una muda mchache sana wa kukaa madarakani. 2015 ilikuwa inaeleweka kuchelewa kwako kuunda baraza la mawaziri manake ndio ilikuwa projection yako ya 10 years ila kwa sasa una muda mchache sana miaka 4 tu.
after all huendi kuteuwa malaika. unaenda kuteuwa wanadamu. watakuwa na mapungufu tu no matter CV zao ni kali kiasi gani.... Tuonakuomba ili mambo yasonge wizarani. Makatibu wakuu kuna mambo hawawezi kufanya hasa katika kutoa vibali mbalimbali