Pastory Kimaryo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 967
- 664
Ndugu, kama kichwa cha habari kinavyosema hivi Baraza la Mawaziri linaundwa lini baada ya Rais kuapishwa na je muda wa kuunda Baraza umeainishwa kikatiba au Rais anajiamulia?
Katiba imeeleza kila kitu.Ndugu, kama kichwa cha habari kinavyosema hivi Baraza la Mawaziri linaundwa lini baada ya Rais kuapishwa na je muda wa kuunda Baraza umeainishwa kikatiba au Rais anajiamulia?
Ibara ya 51 ya katiba ya JMT imetoa maelekezo, Rais atateua Waziri Mkuu ndani ya siku 14 tokea kuapishwa kwake.Ndugu, kama kichwa cha habari kinavyosema hivi Baraza la Mawaziri linaundwa lini baada ya Rais kuapishwa na je muda wa kuunda Baraza umeainishwa kikatiba au Rais anajiamulia?
Kivipi braza?Wezi wa kura wanajipanga kutuibia
Ok thanks
Kuna pahala nimepita nimekita jamaa anaidiss avatar yako ati umelegea alafu demu amekaza. Nilipokuona hapa ikabidi nizoom picha, dah