Baraza la Mawaziri likibadilishwa Kalemani aondolewe kwa hoja ya Tanesco kutokaguliwa, Mwanasheria Mkuu kusimamia awamu ya 5 kuvunja sheria

Nasikia tetesi za mabadiliko ya Baraza la mawaziri.

Namshauri mama asimuache Kalemani, kwa muda wote ameacha Tanesco bila kukaguliwa hesabu wakati anajua Tanesco inameza zaidi ya trilioni ishirini za nchi kwenye mradi wa bwawa la Stiegler's, mabilioni mengine pia.

Kuna uwezekano huko kuna uchotaji mkubwa wa pesa.

Kandarasi zote na sub contract za stiglers zikaguliwe kwa kuwa mwendazake alikuwa na tabia ya kuchomekea kampuni zake katika tenda za miradi ya kitaifa.

Pia tuelezwe ile miti iliyokatwa pale selous ilipelekwa wapi, nani kauziwa, pesa ilipelekwa wapi.

Hii iende kwa standard gauge railway, shirika la reli halijakaguliwa japo linatazamiwa kumeza trilioni zaidi ya 20, kama hapakaguliwi maana yake kuna watu wameweka mjira wa kula, hawataki uguswe.

ATCL pia

Mwanasheria Mkuu wa serikali ndiye alisimamia sheria kandamizi na kusimamia kesi kandamizi dhidi ya watanzania, bila shaka mtu huyu ni irrelevant kwa awamu ya sita inayofata sheria pamoja na haki za binadamu na utu.

Huyu aliyetunga sheria za kidikteta ili kuustawisha atupishe mapema, katiba ilivunjwa mbele ya macho yake, sheria zilivunjwa akiona, wananchi waliozea gerezani akinywa waini.
Mnhuuhh!!!!????
 
Nchi pekee duniani ambayo waziri ana PhD lkn anakwenda kwa mganga wa kienyeji asiye na elimu ili aendelee kubaki kwenye Baraza.
Nchi pekee waziri mwenye degree ya kutibu watu lkn yeye binafsi anakwenda kwa Karumanzila for consultation kuhusu ugonjwa.
 
Nasikia tetesi za mabadiliko ya Baraza la mawaziri.

Namshauri mama asimuache Kalemani, kwa muda wote ameacha Tanesco bila kukaguliwa hesabu wakati anajua Tanesco inameza zaidi ya trilioni ishirini za nchi kwenye mradi wa bwawa la Stiegler's, mabilioni mengine pia.

Kuna uwezekano huko kuna uchotaji mkubwa wa pesa.

Kandarasi zote na sub contract za stiglers zikaguliwe kwa kuwa mwendazake alikuwa na tabia ya kuchomekea kampuni zake katika tenda za miradi ya kitaifa.

Pia tuelezwe ile miti iliyokatwa pale selous ilipelekwa wapi, nani kauziwa, pesa ilipelekwa wapi.

Hii iende kwa standard gauge railway, shirika la reli halijakaguliwa japo linatazamiwa kumeza trilioni zaidi ya 20, kama hapakaguliwi maana yake kuna watu wameweka mjira wa kula, hawataki uguswe.

ATCL pia

Mwanasheria Mkuu wa serikali ndiye alisimamia sheria kandamizi na kusimamia kesi kandamizi dhidi ya watanzania, bila shaka mtu huyu ni irrelevant kwa awamu ya sita inayofata sheria pamoja na haki za binadamu na utu.

Huyu aliyetunga sheria za kidikteta ili kuustawisha atupishe mapema, katiba ilivunjwa mbele ya macho yake, sheria zilivunjwa akiona, wananchi waliozea gerezani akinywa waini.
Du! We mbaya sana aseee!
 
Kuna watu wanatabiri aisee.....
Hii mada imeenda kulekule Kwa mama na amefanyia kazi mawazo yako
 
Nasikia tetesi za mabadiliko ya Baraza la mawaziri.

Namshauri mama asimuache Kalemani, kwa muda wote ameacha Tanesco bila kukaguliwa hesabu wakati anajua Tanesco inameza zaidi ya trilioni ishirini za nchi kwenye mradi wa bwawa la Stiegler's, mabilioni mengine pia.

Kuna uwezekano huko kuna uchotaji mkubwa wa pesa.

Kandarasi zote na sub contract za stiglers zikaguliwe kwa kuwa mwendazake alikuwa na tabia ya kuchomekea kampuni zake katika tenda za miradi ya kitaifa.

Pia tuelezwe ile miti iliyokatwa pale selous ilipelekwa wapi, nani kauziwa, pesa ilipelekwa wapi.

Hii iende kwa standard gauge railway, shirika la reli halijakaguliwa japo linatazamiwa kumeza trilioni zaidi ya 20, kama hapakaguliwi maana yake kuna watu wameweka mjira wa kula, hawataki uguswe.

ATCL pia

Mwanasheria Mkuu wa serikali ndiye alisimamia sheria kandamizi na kusimamia kesi kandamizi dhidi ya watanzania, bila shaka mtu huyu ni irrelevant kwa awamu ya sita inayofata sheria pamoja na haki za binadamu na utu.

Huyu aliyetunga sheria za kidikteta ili kuustawisha atupishe mapema, katiba ilivunjwa mbele ya macho yake, sheria zilivunjwa akiona, wananchi waliozea gerezani akinywa waini.
Duh...!. Kuna watu mna powers humu!.
Yote ulioshauri yametekelezwa.
P
 
Nasikia tetesi za mabadiliko ya Baraza la mawaziri.

Namshauri mama asimuache Kalemani, kwa muda wote ameacha Tanesco bila kukaguliwa hesabu wakati anajua Tanesco inameza zaidi ya trilioni ishirini za nchi kwenye mradi wa bwawa la Stiegler's, mabilioni mengine pia.

Kuna uwezekano huko kuna uchotaji mkubwa wa pesa.

Kandarasi zote na sub contract za stiglers zikaguliwe kwa kuwa mwendazake alikuwa na tabia ya kuchomekea kampuni zake katika tenda za miradi ya kitaifa.

Pia tuelezwe ile miti iliyokatwa pale selous ilipelekwa wapi, nani kauziwa, pesa ilipelekwa wapi.

Hii iende kwa standard gauge railway, shirika la reli halijakaguliwa japo linatazamiwa kumeza trilioni zaidi ya 20, kama hapakaguliwi maana yake kuna watu wameweka mjira wa kula, hawataki uguswe.

ATCL pia

Mwanasheria Mkuu wa serikali ndiye alisimamia sheria kandamizi na kusimamia kesi kandamizi dhidi ya watanzania, bila shaka mtu huyu ni irrelevant kwa awamu ya sita inayofata sheria pamoja na haki za binadamu na utu.

Huyu aliyetunga sheria za kidikteta ili kuustawisha atupishe mapema, katiba ilivunjwa mbele ya macho yake, sheria zilivunjwa akiona, wananchi waliozea gerezani akinywa waini.


mkuu utaaibika ukosema JPM alikuwa anachomeka makampuni yake!!

JPM kwa miaka 15 alikuwa wizara tajiri yenye mijihela kuliko yeyote

Yaani angeamua kula 2% ya bajeti ya miaka 15 angekuwa ni karibu trillioni 2

angekuwa tajiri kuliko MO na bakhresa...wala asingeutaka urais...na fedha haijifichi

Ndio aje kupiga hela akiwa rais??

katemee mate shimo lililokutoa
 
mkuu utaaibika ukosema JPM alikuwa anachomeka makampuni yake!!

JPM kwa miaka 15 alikuwa wizara tajiri yenye mijihela kuliko yeyote

Yaani angeamua kula 2% ya bajeti ya miaka 15 angekuwa ni karibu trillioni 2

angekuwa tajiri kuliko MO na bakhresa...wala asingeutaka urais...na fedha haijifichi

Ndio aje kupiga hela akiwa rais??

katemee mate shimo lililokutoa
Jamaa alikuwa mlafi toka 1995 yeye nikuiba tu hadi rambirambi na alikuwa anaiba kibabe bila aibu
 
Mleta uzi mama amekusikia.

Bado ataendelea, maana amesema ameweka koma hajaweka nukta.
Endelea kuchambua maana chekecheke bado linafanya kazi.
 
Nasikia tetesi za mabadiliko ya Baraza la mawaziri.

Namshauri mama asimuache Kalemani, kwa muda wote ameacha Tanesco bila kukaguliwa hesabu wakati anajua Tanesco inameza zaidi ya trilioni ishirini za nchi kwenye mradi wa bwawa la Stiegler's, mabilioni mengine pia.

Kuna uwezekano huko kuna uchotaji mkubwa wa pesa.

Kandarasi zote na sub contract za stiglers zikaguliwe kwa kuwa mwendazake alikuwa na tabia ya kuchomekea kampuni zake katika tenda za miradi ya kitaifa.

Pia tuelezwe ile miti iliyokatwa pale selous ilipelekwa wapi, nani kauziwa, pesa ilipelekwa wapi.

Hii iende kwa standard gauge railway, shirika la reli halijakaguliwa japo linatazamiwa kumeza trilioni zaidi ya 20, kama hapakaguliwi maana yake kuna watu wameweka mjira wa kula, hawataki uguswe.

ATCL pia

Mwanasheria Mkuu wa serikali ndiye alisimamia sheria kandamizi na kusimamia kesi kandamizi dhidi ya watanzania, bila shaka mtu huyu ni irrelevant kwa awamu ya sita inayofata sheria pamoja na haki za binadamu na utu.

Huyu aliyetunga sheria za kidikteta ili kuustawisha atupishe mapema, katiba ilivunjwa mbele ya macho yake, sheria zilivunjwa akiona, wananchi waliozea gerezani akinywa waini.
Mama amekusikia aisee sema hapo kwenye mikataba ya makampuni yaliyokuwa subcontracted kule kwenye stieglers gorge kampuni ya Magu ipo ndio wenye tenda ya kupeleka kokoto pale
 
Mama amekusikia aisee sema hapo kwenye mikataba ya makampuni yaliyokuwa subcontracted kule kwenye stieglers gorge kampuni ya Magu ipo ndio wenye tenda ya kupeleka kokoto pale
Naam
 
Back
Top Bottom