Baraza la Mawaziri likibadilishwa Kalemani aondolewe kwa hoja ya Tanesco kutokaguliwa, Mwanasheria Mkuu kusimamia awamu ya 5 kuvunja sheria

Waziri anawajibika kama msimamizi was taasisi zilizo chini yake, pia anawajibika kisiasa kama ninavyopendekeza atumbuliwe. Haiwezekani nchi nzima tunalipa LuKu halafu hizo pesa hazikaguliwi zimetumikaje, labda kuna watu wanakula tu hiyo hela inayochangwa na watanzania masikini na wanyonge
Ofisi ya mkaguzi wa hesabu (Auditors) sifa yao ya kwanza ni HURU.

Kabla hatujafika unakowaza watwambie kwanza walikosa Uhuru? Na kama walikosa kanuni zake za muhimu zinataka waseme WAMENYIMWA UHURU.

Na moja ya hatua ni wao KUJIUZURU kuhusu kuifanya kuikagua ofisi hiyo na kuandaa andiko la Evidance ya kukosa uhuru. Tuondeleeni tabia ya kulea madudu kwa kufurahia kufukia tu.

Ukimwajibisha kwa kumweka pembeni waziri naye akaenda kukaa kimya bila kusema shida ilikuwa wapi kama taifa tutapata nini?
Wakabwe CAG Office waseme to what extent they were intervened! Tumjue wa kumwajibisha kwa stahili ya his/her actions.
 
Nasikia tetesi za mabadiliko ya Baraza la mawaziri.

Namshauri mama asimuache Kalemani, kwa muda wote ameacha Tanesco bila kukaguliwa hesabu wakati anajua Tanesco inameza zaidi ya trilioni ishirini za nchi kwenye mradi wa bwawa la Stiegler's, mabilioni mengine pia...
Kwa hiyo kazi ya RAIS ni uteuzi tuu.Hakuna kazi nyingine ya kufanya.Hilo gazeti lenu la mandazi RAIA MWEMA naona linawapoteza
 
Nasikia tetesi za mabadiliko ya Baraza la mawaziri.

Namshauri mama asimuache Kalemani, kwa muda wote ameacha Tanesco bila kukaguliwa hesabu wakati anajua Tanesco inameza zaidi ya trilioni ishirini za nchi kwenye mradi wa bwawa la Stiegler's, mabilioni mengine pia...
Tanzania Ina Mwanasheria wa Ajabu kupata Kutokea MWANASHERIA MKUU yupo BUNGENI ,Spika anakiuka KATIBA kwa Makusudi Anaangalia
 
Sasa mradi wa bwawa la umeme huoni kama unataka kumpa lawama Kalemani na Tanesco? We all knows who decided on those projects, Kalemani na Tanesco unawaonea tu, labda kidooogo huyo mwana sheria but nae tutamsingizia bure, tunajua remote ilikua imeshikiliwa na nani
 
Nasikia tetesi za mabadiliko ya Baraza la mawaziri.

Namshauri mama asimuache Kalemani, kwa muda wote ameacha Tanesco bila kukaguliwa hesabu wakati anajua Tanesco inameza zaidi ya trilioni ishirini za nchi kwenye mradi wa bwawa la Stiegler's, mabilioni mengine pia.

Kuna uwezekano huko kuna uchotaji mkubwa wa pesa.

Kandarasi zote na sub contract za stiglers zikaguliwe kwa kuwa mwendazake alikuwa na tabia ya kuchomekea kampuni zake katika tenda za miradi ya kitaifa.

Pia tuelezwe ile miti iliyokatwa pale selous ilipelekwa wapi, nani kauziwa, pesa ilipelekwa wapi.

Hii iende kwa standard gauge railway, shirika la reli halijakaguliwa japo linatazamiwa kumeza trilioni zaidi ya 20, kama hapakaguliwi maana yake kuna watu wameweka mjira wa kula, hawataki uguswe.

ATCL pia

Mwanasheria Mkuu wa serikali ndiye alisimamia sheria kandamizi na kusimamia kesi kandamizi dhidi ya watanzania, bila shaka mtu huyu ni irrelevant kwa awamu ya sita inayofata sheria pamoja na haki za binadamu na utu.

Huyu aliyetunga sheria za kidikteta ili kuustawisha atupishe mapema, katiba ilivunjwa mbele ya macho yake, sheria zilivunjwa akiona, wananchi waliozea gerezani akinywa waini.
Wale jamaa waliokuwa wanapanga mipango ya mapinduzi imekula kwao aisee.

Yaani mtu unapanga kumpindua mama alafu unafikiri utabaki salama?

Hongera kwa Mabeyo na JWTZ kwa kukataa mipango ile na kusimama kizalendo.
 
Usimsahau yule aliyeokotwa jalalani Kalamaganda Kabugi ambaye naye aliukumbatia kila uovu uliofanywa na yule dhalimu mwendazake. Huyo naye ni wa kupiga chini haraka sana.
Nasikia tetesi za mabadiliko ya Baraza la mawaziri.

Namshauri mama asimuache Kalemani, kwa muda wote ameacha Tanesco bila kukaguliwa hesabu wakati anajua Tanesco inameza zaidi ya trilioni ishirini za nchi kwenye mradi wa bwawa la Stiegler's, mabilioni mengine pia.

Kuna uwezekano huko kuna uchotaji mkubwa wa pesa.

Kandarasi zote na sub contract za stiglers zikaguliwe kwa kuwa mwendazake alikuwa na tabia ya kuchomekea kampuni zake katika tenda za miradi ya kitaifa.

Pia tuelezwe ile miti iliyokatwa pale selous ilipelekwa wapi, nani kauziwa, pesa ilipelekwa wapi.

Hii iende kwa standard gauge railway, shirika la reli halijakaguliwa japo linatazamiwa kumeza trilioni zaidi ya 20, kama hapakaguliwi maana yake kuna watu wameweka mjira wa kula, hawataki uguswe.

ATCL pia

Mwanasheria Mkuu wa serikali ndiye alisimamia sheria kandamizi na kusimamia kesi kandamizi dhidi ya watanzania, bila shaka mtu huyu ni irrelevant kwa awamu ya sita inayofata sheria pamoja na haki za binadamu na utu.

Huyu aliyetunga sheria za kidikteta ili kuustawisha atupishe mapema, katiba ilivunjwa mbele ya macho yake, sheria zilivunjwa akiona, wananchi waliozea gerezani akinywa waini.
 
Bunge wali clear ishu ya Tanesco kutokujaguliwa na wakasema shida ilikua kwa CAG.

Kabla hamjamtuhumu mtu muwe mnajitahidi kupata taarifa za kina msionekane kama hamnazo.
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom