Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Yapo magazeti ambayo yamesifu sana uteuzi wa baraza la mawaziri kivuli la Chadema chini ya uongozi wa Kiongozi wa Kambi ya upinzani Mhe. Freeman Mbowe lakini mawziri wakiwa 29 hivi hilo baraza ni dogo kweli?
Kenya katiba yao yasema mawaziri wasizidi 24 na hakuna nafasi ya mawziri wasaidizi....................................Mbowe amesikika akiahidi kuongeza idadi ya mawaziri wengine labda kuwafurahisha CUF na wengineo........................................
Nionavyo amejibana kuiga baraza la mawaziri kimuundo la JK na hili linasababisha nihoji ubunifu wa Mhe. Mbowe uko wapi?
Kenya katiba yao yasema mawaziri wasizidi 24 na hakuna nafasi ya mawziri wasaidizi....................................Mbowe amesikika akiahidi kuongeza idadi ya mawaziri wengine labda kuwafurahisha CUF na wengineo........................................
Nionavyo amejibana kuiga baraza la mawaziri kimuundo la JK na hili linasababisha nihoji ubunifu wa Mhe. Mbowe uko wapi?