Mohamed Seif Khatib anaingiaje kwenye umakamu wa Rais? Kasome katiba mkuu!
Aunde timu mpya kabisa na waziri anayestahili kubaki ni Magufuli tu
Amekuambia kuwa hiyo ni njozi yake mtoa mada
Baada ya kumfukuza Nyoni, nafikiri it is high time baraza nalo likabadilika jamani, mimi napendekeza ifuatavyo!
15 ministries only
1 Ikulu - Dr Mary Nagu
2 Vice President- Muhamad Seif, rudisha huyu jamaa anaweza
3 PM- Mwanri
4 Fedha- Nyalandu
5 Energy, minerals and water- Makamba
6 Foreign and EA -Membe
7 Health- Dr. Mwinyi (Huyu ni MD)
8 Education and vocational- kawambwa
9 Home affairs, defence and national Service- Nahodha- ya muungano hii
10 Industry, trade, youth, sports and culture- Dr. Mathayo David
11 Tourism-Maige
12 Agriciulture, livestock, fisheries- Sitta
13 Works and transport- Magufuli
14 Lands and setlement- Tibaijuka
15 Justice and Const-Dr. Asha Rose Migiro -she is coming home!
hapa utabana matumizi sana, gari mwisho naibu katibu mkuu na siyo VX, wale wengine wape mikopo na fuel allowance, matumizi ni makubwa sana serikali ni maskini.
JF this is just a dream! I wish it could be like this wamalizie kabla hatujaingia sisi wenyewe. Wala msikubali kuchanganyika wacha wamalizie wenyewe kwa wenyewe.
Mohamed Seif Khatib anaingiaje kwenye umakamu wa Rais? Kasome katiba mkuu!