Ni tetesi tuuuuu
Kama ni kweli basi itakuwa ni usanii tu, maana likiundwa upya watakuwa ni wale wale. Bora anayetaka kulivunja Baraza hilo (kama ni kweli) ajiuzulu kwa sababu kazi imemshinda. Urais si lelemama.
Kama ni kweli basi itakuwa ni usanii tu, maana likiundwa upya watakuwa ni wale wale. Bora anayetaka kulivunja Baraza hilo (kama ni kweli) ajiuzulu kwa sababu kazi imemshinda. Urais si lelemama.
Mkuu anataka kumrudisha Lowassa nini? Nalog off