Negotiator
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 303
- 44
katiba ya sasa inamruhusu kuwa waziri? kama jibu ni ndiyo basi ni haki yake kikatiba japo sina hakika kama unaweza ukatuambia ni yupi huyo.Kuna Waziri Mmoja Kivuli wa Chadema darasa la 7..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
katiba ya sasa inamruhusu kuwa waziri? kama jibu ni ndiyo basi ni haki yake kikatiba japo sina hakika kama unaweza ukatuambia ni yupi huyo.Kuna Waziri Mmoja Kivuli wa Chadema darasa la 7..
Kuna Waziri Mmoja Kivuli wa Chadema darasa la 7..
Chadema bana mtu hakiwa hana elimu hakiwa kwao ana busara hakiwa sehemu ingine wanamuita Kilaza.
Shibuda tena hayumo?
Ulikuwa unataka wavaa makobazi?Udini CDM ndio unao wamaliza mkuu, katika hili baraza Lao feki (means kivuli) wakristo ni 95%
Chadema bana mtu hakiwa hana elimu hakiwa kwao ana busara hakiwa sehemu ingine wanamuita Kilaza.
Chadema bana mtu hakiwa hana elimu hakiwa kwao ana busara hakiwa sehemu ingine wanamuita Kilaza.
hahahahahaha, ngoja nisubiri majibu maana hizo a zinavyofanywa ha..mh!!!kama madr...vilenatafakari utokako. labda ujieleze mwenyewe kabla mpiga rungu hajakuona wewe
Kuna Waziri Mmoja Kivuli wa Chadema darasa la 7..
hongera kwa kummwaga selasini sababu yeye na shibuda mawazo yao hayatofautiani na magamba
Kuna Waziri Mmoja Kivuli wa Chadema darasa la 7..
nilipo bold hayo maneno hivi ile GPA ya Sheria uliipataje na ukawa mwanaasheria wa kampuni ya Lau Masha ile law Firm ya IMMA?
Hawa jamaa wana haki zao nyingine kiasi zinachekesha km hii hapa: http://frontpagemag.com/2012/05/01/islamic-‘death-sex’-in-context/ usishangae pia na kukomaa kuwa sensa iweke dini, wanatafuta kaharufu ka wao kuwa wengi .Ila wakiwa wachache watadao kuchakachuliwa.
Kuna Waziri Mmoja Kivuli wa Chadema darasa la 7..
Mkuu Ritz kuna kautaratibu kanazoeleka nchi itauzwa hii, wanasema eti elimu si ya maana kwenye hizo nafasi. tena nasikia huyo mbunge anaanguka sahihi kwa kutumia dole gumba tutafika kweli?
Anabusara ya uongozi kuliko Ma Dr na Prof wenu hawaitumii elimu yao wamebaki kujikomba tu ili wapate vyeo vya huruma