Baraza la Mawaziri Kenya laundwa!

Indume Yene

Platinum Member
Mar 17, 2008
2,948
709
Hatimaye yale mazungumzo kati ya Kibaki na Odinga ya kuunda baraza la mawaziri yamefikia kileleni baada ya kutangazwa kwa baraza la mawaziri. Rais Kibaki akiongozana na Makamu wa Rais Kalonzo Musyoka na Waziri Mkuu Mteule Raila Odinga alitangaza baraza hilo kupitia vyombo vya habari akiwa IKULU mjini Nairobi.
Baraza la Mawaziri ni kama ifuatavyo hapo chini:-

President: Mwai Kibaki

Vice President and Minster for Home Affairs: Kalonzo Musyoka

Prime Minister: Raila Odinga
Deputy PM and Minster for Trade: Uhuru Kenyatta
Deputy PM and Minister for Local Governmet: Musalia Mudavadi

Minister for Internal Security and Provincial Adminstration: Prof George Saitoti
Asst. Ministers: Orwa Ojode
Simeon Lesrima

Minister for Roads: Kiplaya Kones
Asst. Ministers: Machage, Lee Kinyanjui

Minister for Public Works: Chris Obure
Asst. Minister: Dick Wathika

Minister for Transport: Chirau Mwakere
Asst. Minister: John Mwau

Minister for Lands: James Orengo
Asst. Minister: Sylvester Wakoli and Samuel Rae

Minister for Energy: Kiraitu Murungi
Asst. Ministers: Charles Keter and Mohammed Maalim


Minister for Roads: Kiplaya Kones
Asst. Minister: Wilfred Machage

Minister for Special Programmes: Naomi Shaban
Asst. Minister: Mohammed Ali

Minister for Gender and Children: Esther Mathenge
Asst. Minister: Athanus Keya

Minister for Public Health and Sanitation: Beth Mugo
Asst. Minister: J Ondicho

Minister for Medical Services: Prof Anyang’ Nyong’o
Asst. Minister: Danson Mungatana

Haya sasa baraza ndilo hilo, mnakaribishwa kutoa maoni.
 
Hatimaye yale mazungumzo kati ya Kibaki na Odinga ya kuunda baraza la mawaziri yamefikia kileleni baada ya kutangazwa kwa baraza la mawaziri. Rais Kibaki akiongozana na Makamu wa Rais Kalonzo Musyoka na Waziri Mkuu Mteule Raila Odinga alitangaza baraza hilo kupitia vyombo vya habari akiwa IKULU mjini Nairobi.
Baraza la Mawaziri ni kama ifuatavyo hapo chini:-

President: Mwai Kibaki

Vice President and Minster for Home Affairs: Kalonzo Musyoka

Prime Minister: Raila Odinga
Deputy PM and Minster for Trade: Uhuru Kenyatta
Deputy PM and Minister for Local Governmet: Musalia Mudavadi

Minister for Internal Security and Provincial Adminstration: Prof George Saitoti
Asst. Ministers: Orwa Ojode
Simeon Lesrima

Minister for Roads: Kiplaya Kones
Asst. Ministers: Machage, Lee Kinyanjui

Minister for Public Works: Chris Obure
Asst. Minister: Dick Wathika

Minister for Transport: Chirau Mwakere
Asst. Minister: John Mwau

Minister for Lands: James Orengo
Asst. Minister: Sylvester Wakoli and Samuel Rae

Minister for Energy: Kiraitu Murungi
Asst. Ministers: Charles Keter and Mohammed Maalim


Minister for Roads: Kiplaya Kones
Asst. Minister: Wilfred Machage

Minister for Special Programmes: Naomi Shaban
Asst. Minister: Mohammed Ali

Minister for Gender and Children: Esther Mathenge
Asst. Minister: Athanus Keya

Minister for Public Health and Sanitation: Beth Mugo
Asst. Minister: J Ondicho

Minister for Medical Services: Prof Anyang’ Nyong’o
Asst. Minister: Danson Mungatana

Haya sasa baraza ndilo hilo, mnakaribishwa kutoa maoni.

At last Wakenya watapona sasa kutoka kwenye vurugu.
Unaweza pia uka-andika na vyama walivyotoka?
Lakini hii nayo ni hatua nzuri.
 
Ni progress nzuri!

Vipi wanakubalika kwa wananchi? Makubaliano ya msingi kati ya vyama vingine...etc yapo..! tusubiri tuone mambo yatakavyoendelea!!
 
Hili baraza bado halieleweki, na ninashangaa jinsi Odinga alivyolikubali. Hivi kiitifaki, nani mkubwa kati ya waziri mkuu na makamu wa rais? Walivyoorodhesha hapo inaonesha makamu wa rais ndiye anayemfuatia rais kimadaraka, lakini huyohuyo makamu wa rais ati ni waziri wa mambo ya ndani! Sasa katika wizara hiyo anayoongoza atawajibika vipi kwa waziri mkuu? Halafu wame-duplicate wizara, mfano "public health and sanitation" na hiyo ya "medical services" zina faida gani kutenganishwa? Labda wenzetu ni matajiri wanazo pesa nyingi za kuhudumia mawaziri wasiokuwa na umuhimu!
 
Hili baraza bado halieleweki, na ninashangaa jinsi Odinga alivyolikubali. Hivi kiitifaki, nani mkubwa kati ya waziri mkuu na makamu wa rais? Walivyoorodhesha hapo inaonesha makamu wa rais ndiye anayemfuatia rais kimadaraka, lakini huyohuyo makamu wa rais ati ni waziri wa mambo ya ndani! Sasa katika wizara hiyo anayoongoza atawajibika vipi kwa waziri mkuu? Halafu wame-duplicate wizara, mfano "public health and sanitation" na hiyo ya "medical services" zina faida gani kutenganishwa? Labda wenzetu ni matajiri wanazo pesa nyingi za kuhudumia mawaziri wasiokuwa na umuhimu!

Kithuku;

Fananisha kidogo na Tanzania, Makamu wa Rais ni Makamu kweli wa Rais kwa maana anakuwa active zaidi pale Rais akiwa hayupo! Kwa hakika yupo Juu ya Waziri Mkuu pale Rais anapokuwepo... lakini akiwa hayupo ndio hivyo tena... Lakini ki-protocol Makamu wa Rais yuko juu ya Waziri Mkuu... lakini ki-majukumu I don't see it, Waziri Mkuu wa Kenya ni mtu mzito...


Kuhusu makamu wa Rais kuwa na wizara anamaanisha kwamba he has to be busy doing something wakati Rais akiwa hana tatizo lolote... Hata kwetu Makamu wa Rais ana wizara ya Mazingira, na Wizara ya Muungano; wale mawaziri wa nchi wanaitwa wasaidizi lakini yeye mwenyewe makamu ndiye waziri wa hizo wizara.

Lakini Lingine ni kwamba Wale Manaibu waziri wakuu wamepewa pia wizara... hii haina tofauti sana na Tanzania... Tofauti ninayoiona sisi tunasema Waziri wa nchi ofisi ya Waziru Mkuu Tawala za TAMISEMI; kwa maana nyingine kwa system ya Kenya Mzee. Wetu Taisoni ni Naibu Waziri Mkuu...

Mimi nawapongeza kwa ku-introduce wizara hizi:-:

Wizara ya Industrilization " wenzetu wanaangalia mbali"

Wizara ya Nairobi Metropolitan "Majiji kweli yanahitaji kuangaliwa kwa karibu sana kama hili letu linalojengwa kama mtoto anayejifunza kufinyanga vyungu"

Wizara ya mipango na vision 2030:"Hili pia nimelipenda" at least mpango wa maendeleo wa muda mrefu uko na ownership, una mtu wa kuulizwa... sio unaingiza kwa watu ambao wanafanya operations; eventually wanasahau kabisa mambo ya muda mrefu.


Zaidi nawasubiri wale wasiopenda wizara nyingi... kwa kuwa Kenya sasa iko na Mawaziri 40 na Manaibu 52. Kazi kwenu watu wa tarakimu... mnaopenda kujadili mambo kwa namba...
 
Hatimaye yale mazungumzo kati ya Kibaki na Odinga ya kuunda baraza la mawaziri yamefikia kileleni baada ya kutangazwa kwa baraza la mawaziri. Rais Kibaki akiongozana na Makamu wa Rais Kalonzo Musyoka na Waziri Mkuu Mteule Raila Odinga alitangaza baraza hilo kupitia vyombo vya habari akiwa IKULU mjini Nairobi.
Baraza la Mawaziri ni kama ifuatavyo hapo chini:-

President: Mwai Kibaki

Vice President and Minster for Home Affairs: Kalonzo Musyoka

Prime Minister: Raila Odinga
Deputy PM and Minster for Trade: Uhuru Kenyatta
Deputy PM and Minister for Local Governmet: Musalia Mudavadi

Minister for Internal Security and Provincial Adminstration: Prof George Saitoti
Asst. Ministers: Orwa Ojode
Simeon Lesrima

Minister for Roads: Kiplaya Kones
Asst. Ministers: Machage, Lee Kinyanjui

Minister for Public Works: Chris Obure
Asst. Minister: Dick Wathika

Minister for Transport: Chirau Mwakere
Asst. Minister: John Mwau

Minister for Lands: James Orengo
Asst. Minister: Sylvester Wakoli and Samuel Rae

Minister for Energy: Kiraitu Murungi
Asst. Ministers: Charles Keter and Mohammed Maalim


Minister for Roads: Kiplaya Kones
Asst. Minister: Wilfred Machage

Minister for Special Programmes: Naomi Shaban
Asst. Minister: Mohammed Ali

Minister for Gender and Children: Esther Mathenge
Asst. Minister: Athanus Keya

Minister for Public Health and Sanitation: Beth Mugo
Asst. Minister: J Ondicho

Minister for Medical Services: Prof Anyang’ Nyong’o
Asst. Minister: Danson Mungatana

Haya sasa baraza ndilo hilo, mnakaribishwa kutoa maoni.
mbona Foreign Minister hakuna?
 
Kuna minister wa health, halafu kuna mwingine wa medical services. Halafu minister for home affairs, na mwingine hapohapo for internal security. Ama kweli wenzetu kwa madaraka hamjambo! Nawaona kwa mbali mawaziri watakapokuwa wanakanyagana!
 
wale vibaraka walioamua kuviunganisha vyama vyao ndani ya PNU mbona hawajapewa hata wizara fofofo?
 
Sasa mbona Odinga kakubali mwenzake Willium Ruto aliyesota nae pamoja na Najib Balala kukaa nje ya team?

Halafu nimefagilia Mudavadi kupewa U-deputy na Local governments.

Sasa hapa mimi sioni Ministry za Finance na pia Tourism.Pia za Culture na pia Justice and constitution.
 
Minister for Justice ni Martha Karua,

Najib Balala ni waziri, nimesahau kidogo wizara yake.
Nilimuona kwenye list iliyokuwa inaonyeshwa na The CitizenTV!
 
Sasa mbona Odinga kakubali mwenzake Willium Ruto aliyesota nae pamoja na Najib Balala kukaa nje ya team?

Halafu nimefagilia Mudavadi kupewa U-deputy na Local governments.

Sasa hapa mimi sioni Ministry za Finance na pia Tourism.Pia za Culture na pia Justice and constitution.

Waziri wa Fedha - Amos Kimunya, ameendelea na nafasi yake

waziri wa Kilimo - William Ruto.
 
Back
Top Bottom