Bado Niponipo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2008
- 680
- 168
Baraza la Mawaziri - Tanzania - 12.Feb. 2008
1. (Menejimenti utumishi wa umma) - Hawa Ghasia.
2. (Ofisi ya Rais muungano) - Seif Mohamed Khatib.
3. (Mazingira) - Batilda Burian.
4. (Ofisi ya waziri mkuu utaratibu wa bunge) - Philipo Marmo.
5. (Tamisemi Tawala za mikoa na serikali za mitaa) - Stephen Wasira, naibu Serena Kombani.
6. (Wizara ya mipango na Fedha) - Mustafa Mkulo, manaibu Jeremia Sumari na Omari Yusuph Mzee.
7. (Afya na ustawi wa jamii) - Prof. Mwakyusa, Naibu Asha Kigoda.
8. (Ardhi Nyumba na maendeleo ya makazi) - John Chiligati.
9. (Elimu na mafunzo ya ufundi) - Prof Jumanne Maghembe, Manaibu Gaudensia Kabaka , na Mwantum Mahiza.
10. (Mawasiliano, Sayansi na Technologia) - Shukuru Kawambwa, Naibu Maua Daftari.
11. (Miundo mbinu) - Andrew Chenge, Naibu Milton Mahanga.
12. (Habari Utamaduni na Michezo) - George Huruma Mkuchika, Naibu Joel Bendera.
13. (Kazi Ajira na maendeleo ya Vijana) - Prof Juma Kapuya, Naibu Ezekiel Chibulunje.
14. (Maji na Umwagiliaji) - Prof. Mark Mwandosya, Naibu wake ni Engineer Christopher Chiza.
15. (Kilimo Chakula na Ushirika) - Prof. Peter Msola, Naibu Mathayo David Mathayo.
16. (Maendeleo ya jamii Jinsia na Watoto) - Magreth Sitta, naibu Lucy Nkya.
17. (Maendeleo ya mifugo na uvuvi) - John Pombe Magufuli, Naibu DR. James Wanyancha.
18. (Maliasili na utalii) - Shamsa Mwangunga, Naibu Ezekiel Maige.
19. (Mambo ya Ndani) - Lawrence Masha, naibu Hamis Kagasheki.
20. (Wizara ya Katiba na Sheria) - Mhe. Mathias Chikawe.
21. (Mambo ya nje na Ushirikiano wa kimataifa) - Bernard Membe, naibu Seif Ally Idi.
22. (Wizara ya Nishati na madini) - Wiliam Ngereja, Naibu ni Adam Malima.
23. (Wizara ya Ulinzi) - Hussein Ally Mwinyi, Naibu Emmanuel Nchimbi.
24. (Wizara Ya Afrika Mashariki) - DR. E Kamala, naibu Mohamed Abdul.
25. (Viwanda na Masoko) - Mary Nagu naibu Cyril Chami.
MWISHO.
MY TAKE:-
Wakuu twende mbele tukirudi nyuma japo kwa kidogo.
Je waliongizwa kwenye baraza la sasa 2010-1015 kutoka kwenye list hii wanastahili na je kuna walioachwa ambao unadhani walistahili kuingia kwenye baraza jipya la 2010-2015.
Wasalaam
BNN
1. (Menejimenti utumishi wa umma) - Hawa Ghasia.
2. (Ofisi ya Rais muungano) - Seif Mohamed Khatib.
3. (Mazingira) - Batilda Burian.
4. (Ofisi ya waziri mkuu utaratibu wa bunge) - Philipo Marmo.
5. (Tamisemi Tawala za mikoa na serikali za mitaa) - Stephen Wasira, naibu Serena Kombani.
6. (Wizara ya mipango na Fedha) - Mustafa Mkulo, manaibu Jeremia Sumari na Omari Yusuph Mzee.
7. (Afya na ustawi wa jamii) - Prof. Mwakyusa, Naibu Asha Kigoda.
8. (Ardhi Nyumba na maendeleo ya makazi) - John Chiligati.
9. (Elimu na mafunzo ya ufundi) - Prof Jumanne Maghembe, Manaibu Gaudensia Kabaka , na Mwantum Mahiza.
10. (Mawasiliano, Sayansi na Technologia) - Shukuru Kawambwa, Naibu Maua Daftari.
11. (Miundo mbinu) - Andrew Chenge, Naibu Milton Mahanga.
12. (Habari Utamaduni na Michezo) - George Huruma Mkuchika, Naibu Joel Bendera.
13. (Kazi Ajira na maendeleo ya Vijana) - Prof Juma Kapuya, Naibu Ezekiel Chibulunje.
14. (Maji na Umwagiliaji) - Prof. Mark Mwandosya, Naibu wake ni Engineer Christopher Chiza.
15. (Kilimo Chakula na Ushirika) - Prof. Peter Msola, Naibu Mathayo David Mathayo.
16. (Maendeleo ya jamii Jinsia na Watoto) - Magreth Sitta, naibu Lucy Nkya.
17. (Maendeleo ya mifugo na uvuvi) - John Pombe Magufuli, Naibu DR. James Wanyancha.
18. (Maliasili na utalii) - Shamsa Mwangunga, Naibu Ezekiel Maige.
19. (Mambo ya Ndani) - Lawrence Masha, naibu Hamis Kagasheki.
20. (Wizara ya Katiba na Sheria) - Mhe. Mathias Chikawe.
21. (Mambo ya nje na Ushirikiano wa kimataifa) - Bernard Membe, naibu Seif Ally Idi.
22. (Wizara ya Nishati na madini) - Wiliam Ngereja, Naibu ni Adam Malima.
23. (Wizara ya Ulinzi) - Hussein Ally Mwinyi, Naibu Emmanuel Nchimbi.
24. (Wizara Ya Afrika Mashariki) - DR. E Kamala, naibu Mohamed Abdul.
25. (Viwanda na Masoko) - Mary Nagu naibu Cyril Chami.
MWISHO.
MY TAKE:-
Wakuu twende mbele tukirudi nyuma japo kwa kidogo.
Je waliongizwa kwenye baraza la sasa 2010-1015 kutoka kwenye list hii wanastahili na je kuna walioachwa ambao unadhani walistahili kuingia kwenye baraza jipya la 2010-2015.
Wasalaam
BNN