Baraza la Mapinduzi kukutana kwa dharura

Luteni

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
2,274
301
Kuna taarifa kuwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeitisha kikao cha dharura cha Baraza la Mapinduzi kujadili na kupitisha rasimu ya sheria ya kura ya maoni juu ya uundwaji wa serikali ya umoja wa kitaifa.

Inasemekana kikao hicho kimeitishwa ghafula kutokana na uvumi kuwa kuna mpango toka bara wa kukwamisha kura ya maoni kabla ya uchaguzi mkuu kwa kisingizio cha muda wajumbe hao watakutana leo na wamepewa taarifa ya muda mfupi kuliko kawaida yake
Tunaomba mwenye taarifa zaidi atujulishe.......
 
wanacheza tu hao, seriali ya mkoa,itweza kupambana na soverein government ya JMT? hawaijui nji hiiiiiiiiii hao, waache tu na kimbeembele chao cha mazungumzo kati ya maalim na mwana wa kuli.................. kibao kikiwageukiwa, watajuuuuuta kifahamu bara
 
mambo ni mema na heri wafanye hima kwani mabadiriko zanzibar yatatuamsha na sisi wa bara tulio lala fofofo utafikiri tumenyweshwa gongo tena ile namba one.
 
mambo ni mema na heri wafanye hima kwani mabadiriko zanzibar yatatuamsha na sisi wa bara tulio lala fofofo utafikiri tumenyweshwa gongo tena ile namba one.

Mabadiliko ya zanzibar ni muhimu kuliko mnaana litakuwa fundisho tosha si tu kwa vyama vya upinzani bali na kwa CCM yenyewe itabidi ijiulize mara mbili mbili ni wapi imekosea na wapi CCM zanzibar inakoelekea
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom