Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,466
- 12,916
Nimeamini kumbe hata saa mbovu kuna muda inasema ukweliMnapongeza nini sasa nanyi fanyeni kazi tuione mje mumpongeze siku ya ufunguzi ndio mtaeleweka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeamini kumbe hata saa mbovu kuna muda inasema ukweliMnapongeza nini sasa nanyi fanyeni kazi tuione mje mumpongeze siku ya ufunguzi ndio mtaeleweka!
Madhara ya kuugua sana utoto ndio yanaonekana ukubwani......but unaweza kutana na wataalamu wa afya wakakusaidiaLissu kakaa miaka 10 pale hewa tu ,
Hongera mama kumsaidia Tundu Lissu
Kazi iendelee na Rais Samia Jembe letu,
We jamaa lisu alikaa majimbo yote mawili? Halafu inakuwaje mbunge unamlinganisha na raisi?Lissu kakaa miaka 10 pale hewa tu ,
Hongera mama kumsaidia Tundu Lissu
Kazi iendelee na Rais Samia Jembe letu,
Lissu kakaa miaka 10 pale hewa tu ,
Hongera mama kumsaidia Tundu Lissu
Kazi iendelee na Rais Samia Jembe letu,
Mtaturu yuko vizuriBaraza la madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Singida lenye majimbo ya Singida Mashariki na Singida Magharibi na kata 26 lililohudhuriwa na DC Jerry Muro limeketi kwa mafanikio
Baraza hili limepitisha "Azimio Maalumu " la kumpongeza Rais Samia baada ya kupokea Bilioni 2.6 za kujenga madarasa 67 Sekondari, madarasa 65 Shule Msingi na milioni 860 za miradi ya maji.Hii haijawahi kutokea katika historia ya Ikungi,
Zile hela ingewezekana hata kupeleka kwenye ujenzi wa SGR au kwokwote,ila rais kwa mapenzi yake mapana kwa nchi yetu kaamumua kuzimwaga mtaani. Kule Ikungi kulikuwa na shida ya hela na awamu iliyopita ilijaribu kuchangiza ila hawakufanikisha. This time mama amemwaga hela hadi madarasa ya akiba. Hivi ingekuwa ww mkazi wa huko ungefanya nn tofauti na kumshukuru? Pesa inaenda mtaani na sio kulipa wachina na wahindi na mwisho wa siku sinajazana forex huko. Asiye ona na kuafiki haya basi asubiri ajaye. Ila huyu ndie Alfa na Omega. Wamepita wengi na watafika wengi ila huyu ndie roho ya nchi. 1. Nyerere 2. Samia Saluhu Hasan. Over!Kwamba huyo Samia hizo hela ametoa kwenye akaunti yake binafsi au ? hivi bado nchi hii ina watu mabwege kiasi hiki !