Baraza la Maaskofu Kanisa Katoliki lafanya Uchaguzi wa Rais, Makamu na Katibu Mkuu

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,813
4,544
Wanabodi,

Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania katika mkutano wake Mkuu wa 77 uliofanyika makao makuu Kurasini kuanzia tarehe 21-25 Juni 2021 walifanya uchaguzi wa Viongozi watakaosimamia wa shughuli za baraza katika miaka mitatu ijayo kuanzia 2021 mpaka 2024

  • Baraza limemchagua Mhashamu Askofu Mkuu Gervas Nyaisonga kuwa Rais wa Baraza kwa awamu ya pili
  • Limemchagua Mhashamu Askofu Flavian Kassala kuwa makamu wa Rais kwa awamu ya Pili
  • Limemteua Katibu Mkuu, Padre Charles Kitima kwa awamu ya pili
  • Limemteua Mheshimiwa Padre Chesco Msaga kuwa naibu mkuu wa Baraza kwa kipindi cha miaka mitatu
1625135247844.png
 
Huwa najiuliza sana kwa nini Kitima hapewi uaskofu?
MAPADRE NI WENGI MNO TZ, NA MAJIMBO NI MACHACHE MNO "every priest is possible candidate " THOSE WITH MERITS

UASKOFU SIO UJI ,AU ASALI KWAMBA KILA MTU AONJE/ARAMBE...🤦‍♂️🤣🤣😃😃

By the way mchakato wa kumpata ASKOFU sio rahisi kama unavyofikiri!

Kitima ni Intellectual anapaswa kutumiwa effectively na Kanisa katoliki.

Kumpa uaskofu anakuwa limited!

Mengine ni MAMBO YA CHUMBANI...

we Ishia hapa sebureni PANAKUTOSHA.

Tuachie wenyewe tuliopo KANISANI.
 
Wanabodi,

Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania katika mkutano wake Mkuu wa 77 uliofanyika makao makuu Kurasini kuanzia tarehe 21-25 Juni 2021 walifanya uchaguzi wa Viongozi watakaosimamia wa shughuli za baraza katika miaka mitatu ijayo kuanzia 2021 mpaka 2024

  • Baraza limemchagua Mhashamu Askofu Mkuu Gervas Nyaisonga kuwa Rais wa Baraza kwa awamu ya pili
  • Limemchagua Mhashamu Askofu Flavian Kassala kuwa makamu wa Rais kwa awamu ya Pili
  • Limemteua Katibu Mkuu, Padre Charles Kitima kwa awamu ya pili
  • Limemteua Mheshimiwa Padre Chesco Msaga kuwa naibu mkuu wa Baraza kwa kipindi cha miaka mitatu
Hadi mapadri siku hizi wamekuwa"waheshimiwa"! Kazi kwelkwel
 
Back
Top Bottom