mabadilikosasa
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 379
- 85
Hili Baraza la maadili nashindwa kuelewa utendaji wake upo vipi? Kuna haja gani ya kutumia resources nyingi kuwaita watu na kuwahoji? wanashindwa vipi kuwapigia simu? kwanini kurudisha form inakua a big issue? watanzania wengine kufikiri na utendaji wake unasikitisha.............everything inakua siasa za maji taka?