Baraza la Kiislamu la Maadili lalaani kuzomewa Dk Magufuli

Strong point? Sijui ni kigezo gani katumia huyo Shehe kulinganisha nauli ya Kiluvya na Ferry! Ni umbali? Ni aina ya usafiri? au ni kitu gani alichotumia kufikia conlusion yake?

Kiluvya - Ubungo ni zaidi ya 30km wakati Kivukoni A - Kivukoni B haifiki 1km anyway let's assume its 1km.

Hesabu rahisi (Nauli kwa kilometa):

Kiluvya - Ubungo: 900/30 = T.Shs. 30/km.

Kivukoni A - Kivukoni B: 200/1 = T.Shs. 200/km.

Kwa akili yako na ya Shehe ni nauli ipi ghali? Kiluvya-Ubungo au Kivukoni? Jamani, just use common sense! Otherwise, tuambiwe ni kigezo kipi kimetumika. Naamini wananchi wakiambiwa kwa busara na ufafanuzi wa kueleweka hata kama itakuwa 10,000/= bado wataelewa na sio kwenda kuwatusi.

Hayo mahesabu wenzako hawayajui, wanachofanya ni kutumiwa na magamba kuchafua makamanda wa CDM tu.
 
We nae ni mwehu Mbeya nayo ni Dar?

La hasha mbeya si dar ila hoja niliokua naijubu ilihusu utitiri wa mabaraza ya waislam ndio nikasema hizo dini zenu zote sawa tu kwa kuwa hata kuna utitiri wa makanisa pia ambapo mbeya inaongoza kwa kuwa na makanisa mengi.umeelewa sasa?
 
Naona unachanganya mambo kwa uvivu wa kusoma,sheikh hajalinganisha nauli ya kuvukoni A Tto kivukoni B na nauli kiluvya bali kalinganisha 450 inayolipwa kutoka mbagala kwenda mwenge na 900 inayolipwa kutoka kiluvya mpaka ubungo,tujenge tabia ya kusoma thread sawasawa kabla ya kukurupuka kuwatetea tunaowapenda!


Je kilomita zinafanana?
 
Usibishane na wasiotaka kujua wanakwenda na watotokako wapi.Kwanza kufananisha usafiri wa ubungo -kiluvya na Kivukoni -kigamboni ni ujuha.

upotoshaji jazz band....!mbona ukisoma vizuri hakuna walipofananisha usafiri wa ubungo - kiluvya na kivukoni to kigamboni?wamefanananisha nauli ya usafiri wa mbagala to mwenge(450) na kiluvya to ubungo(900),msijifanye hamjui kusoma
 
Huyu shehe alikuwa na Point..

Ila kuingiza kwake mahaba kama si ya kisiasa basi ya kidini ndio kumeharibu tamko lao lote..How can u compare Kiluvya to Feri with Kigamboni kivukoni to Feri? Nadhani hajawahi hata kutumia usafiri binafsi kutoka Kiluvya mpaka Feri aone atatumia muda gani na mafuta kiasi gani (Achana na kilometres zilizopo).
Sasa kitendo chake cha kumkomalia mnyika na kumwacha Mtemvu ambaye through sakata hili za nauli mpya za kivuko aliwakwaza hadi wakazi wa Dar es salaam wasio wazaliwa..Kwa kusema kwamba wakuja (Magufuli akiwemo) hawaijui Dar es salaam ndio kinacholeta shida zaidi kama sio katumwa.
Any way unavyokashifu Vishehe ubwabwa kama hivi inaonekana unakashfu u-islam lakini unavyokashfu kina Kakobe,Mzee wa upako,Mwingira,Ngwajima,Mama Lwaks nk inaonekana unawakashfu wao binafsi.

N:B Ignorance and Greed always take their ass by suprise-Dr Dre
 
upande mmoja sheikh kaongea poinj upande mwingine kaongea takataka,nauli ya kiluvya kama ni 1200 bado ni kidogo mno! hongera mnyika. Ebu gawanya km za kiluvya na za kigamboni,utakuta kiluvya wanaenjoy ratio benefit,yan wanalipa kama sh 40 kwa kilometa wakati kgambon walipa sh203 kwa km. Sheikh watumia vgezo gani?ebu rudi shule! naona hata mbunge wa kigoma akiongea sheikh atasema mbona kutoka kgoma elf50 na kgambon mia2 tu! du analysis ya std3!!!
 
Mhe. Mnyika jitathmini, 2015 utakalia kuti kavu! Ubungo ina matatizo kibao umeyalia kobis, kukumwaga sio kazi ngumu kama kukuweka
 
Hata nalo pia sio wote tunaolitambua,
Wengine tunaliona kama la kizushi tu!!!

Kama Bakwata hamlitambui, nani mwakilishi sahihi wa waislamu Tanzania? How powerful these bodies we see coming up everyday to the interest of the moslems? Isije ikawa ni vyombo vya watu kuneemeka.
 
Naona unachanganya mambo kwa uvivu wa kusoma,sheikh hajalinganisha nauli ya kuvukoni A Tto kivukoni B na nauli kiluvya bali kalinganisha 450 inayolipwa kutoka mbagala kwenda mwenge na 900 inayolipwa kutoka kiluvya mpaka ubungo,tujenge tabia ya kusoma thread sawasawa kabla ya kukurupuka kuwatetea tunaowapenda!

Aliongeza: "Kwa mfano, wakazi wa Kiluvya walioko katika Jimbo la Ubungo wanalipa nauli Sh. 900 kutoka Kiluvya hadi Ubungo wakati wakazi wa Mbagala wanalipa Sh 450 kutoka Mbagala hadi Mwenge. Iweje Mbunge wa Ubungo, John Mnyika akawatetee wakazi wa Kigamboni wanaolipa Sh. 200 badala wapigakura wake ambao hulipa Sh 1,200 kutoka Kiluvya hadi Posta. Je, huo sio unafiki?"

Wala sijachanganya mambo. Hayo ya Mbagala - Mwenge ni maelezo ya ziada tu wala hayana maana yoyote kwenye hoja iliyopo mezani. Swali lililoulizwa na Shehe ni kama linavyoonekana kwenye red na majibu (hesabu) yangu yalijikita kwenye swali na sio maelezo ya Mbagala.

Huyo Shehe anapaswa kujua kwamba Mnyika ana haki ya kutetea pia usafiri wa Kigamboni kwa sababu kuna maelfu ya wapiga kura wake (wana-Ubungo) ambao shughuli zao mbalimbali za kila siku ziko Kigamboni. Sijui kwanini hili linakuwa gumu kueleweka? Well, ukiwa na ajenda za siri haya mambo huwezi kuyaona.

Lakini, je, mipaka ya Mbunge katika kutetea jambo lenye maslahi kwa jamii inaishia wapi? Ndani ya jimbo lake? Au hata nje ya jimbo? Labda Mnyika na baadhi yetu hatuelewi.
 
Huyu shehe alikuwa na Point..

Ila kuingiza kwake mahaba kama si ya kisiasa basi ya kidini ndio kumeharibu tamko lao lote..How can u compare Kiluvya to Feri with Kigamboni kivukoni to Feri? Nadhani hajawahi hata kutumia usafiri binafsi kutoka Kiluvya mpaka Feri aone atatumia muda gani na mafuta kiasi gani (Achana na kilometres zilizopo).
Sasa kitendo chake cha kumkomalia mnyika na kumwacha Mtemvu ambaye through sakata hili za nauli mpya za kivuko aliwakwaza hadi wakazi wa Dar es salaam wasio wazaliwa..Kwa kusema kwamba wakuja (Magufuli akiwemo) hawaijui Dar es salaam ndio kinacholeta shida zaidi kama sio katumwa.
Any way unavyokashifu Vishehe ubwabwa kama hivi inaonekana unakashfu u-islam lakini unavyokashfu kina Kakobe,Mzee wa upako,Mwingira,Ngwajima,Mama Lwaks nk inaonekana unawakashfu wao binafsi.

N:B Ignorance and Greed always take their ass by suprise-Dr Dre

Hivi ni kweli hamjui kusoma jamani au?ni wapi kalinganisha nauli ya kiluvya ubungo na kigamboni A to b?alichosema narudia ni iweje myika aikalie kimya nauli ya kiluvya ubungo 900 akapigie kelele nauli ya kivuko 200?akalinganisha nauli ya mbagala mwenge 450 ana ya kiluvya ubungo 900!
 
Strong point? Sijui ni kigezo gani katumia huyo Shehe kulinganisha nauli ya Kiluvya na Ferry! Ni umbali? Ni aina ya usafiri? au ni kitu gani alichotumia kufikia conlusion yake?

Kiluvya - Ubungo ni zaidi ya 30km wakati Kivukoni A - Kivukoni B haifiki 1km anyway let's assume its 1km.

Hesabu rahisi (Nauli kwa kilometa):

Kiluvya - Ubungo: 900/30 = T.Shs. 30/km.

Kivukoni A - Kivukoni B: 200/1 = T.Shs. 200/km.

Kwa akili yako na ya Shehe ni nauli ipi ghali? Kiluvya-Ubungo au Kivukoni? Jamani, just use common sense! Otherwise, tuambiwe ni kigezo kipi kimetumika. Naamini wananchi wakiambiwa kwa busara na ufafanuzi wa kueleweka hata kama itakuwa 10,000/= bado wataelewa na sio kwenda kuwatusi.

zanzibar dar 20000/40

dar arusha 15000/647 Ni dhahiri aina ya usafiri ndio unachangia bei kuliko masafa .
 
Wala sijachanganya mambo. Hayo ya Mbagala - Mwenge ni maelezo ya ziada tu wala hayana maana yoyote kwenye hoja iliyopo mezani. Swali lililoulizwa na Shehe ni kama linavyoonekana kwenye red na majibu (hesabu) yangu yalijikita kwenye swali na sio maelezo ya Mbagala.

Huyo Shehe anapaswa kujua kwamba Mnyika ana haki ya kutetea pia usafiri wa Kigamboni kwa sababu kuna maelfu ya wapiga kura wake (wana-Ubungo) ambao shughuli zao mbalimbali za kila siku ziko Kigamboni. Sijui kwanini hili linakuwa gumu kueleweka? Well, ukiwa na ajenda za siri haya mambo huwezi kuyaona.

Lakini, je, mipaka ya Mbunge katika kutetea jambo lenye maslahi kwa jamii inaishia wapi? Ndani ya jimbo lake? Au hata nje ya jimbo? Labda Mnyika na baadhi yetu hatuelewi.


Ndio anamshangaa mbunge wa ubungo kutohoji nauli ya 900 wanayotozwa wapiga kura wake wakati wapiga kura wa mtemvu wa temeke na ndugulile wa kigamboni mpaka mbagala kwa umbali huo huo wanalipa 450?kwanini mnyika anaenda kumuunga mkono Faustine NDUGULILE wa kigamboni kwa ongezeko la tshs 100 wakati watu wake ili wafike posta ama kivukoni kutumia pantoni wameshapigwa 1200!hoja ya sheikh hapo kiufupi kwanini kiluvya ubungo mnika asipiganie iwe 450 au 500 kama mbagala mwenge ambapo ni parefu lakini fare ni 450 tu
 
Du! The so called "Great Thinkers" sasa mnatia kichefuchefu kwamba hoja haiwezi jadili kwa sababu imetolewaa na shetani, mjinga, mtoto. babu, mwanamke, mwanaCCM, mwanaCUF, MwanaNCCR, etc.... huo Kambarage alikuwa anasema hivi ni "UPUMBAVU";

Na usheilk wao etc... lakini kwenye maneno yao kuna hoja mahali; let be serious.... na hoja ni simple
"What make panton running cost to remain same hence continue charging same "nauli" amid changes of operations cost in all components, being salary for attendants, fuel; spare parts etc"​
 
Ndio anamshangaa mbunge wa igunga kutohoji nauli ya 900 wanayotozwa wapiga kura wake wakati wapiga kura wa mtemvu wa temeke na ndugulile wa kigamboni mpaka mbagala kwa umbali huo huo wanalipa 450?kwanini mnyika anaenda kumuunga mkono Faustine NDUGULILE wa kigamboni kwa ongezeko la tshs 100 wakati watu wake ili wafike posta ama kivukoni kutumia pantoni wameshapigwa 1200!hoja ya sheikh hapo kiufupi kwanini kiluvya ubungo mnika asipiganie iwe 450 au 500 kama mbagala mwenge ambapo ni parefu lakini fare ni 450 tu

Ulishaulizwa swali humu hukujibu: Mbagala - Mwenge ni umbali sawa na Kiluvya - Posta? Hebu jibu kwanza hili.
 
Ulishaulizwa swali humu hukujibu: Mbagala - Mwenge ni umbali sawa na Kiluvya - Posta? Hebu jibu kwanza hili.
Pia mbona hajaulizwa Mbunge wa Ukonga na ilala Nauli ya Posta hadi Chanika ni Shilingi Ngapi?
Wale wa Nzasa hadi Buguruni ni kiasi gani?
Acheni kutumia masaburi kwenye mambo ya msingi.
Pia mbona hawakulaani majibu ya Magufuli? au yeye alikuwa sahihi kuwatukana wananchi? au ndo ile jino kwa jino?
 
Back
Top Bottom