THE GEEK
Member
- Dec 10, 2010
- 90
- 32
[video=vimeo;28494538]http://vimeo.com/28494538[/video]
[video=vimeo;28494765]http://www.vimeo.com/28494765[/video]
[video=vimeo;28495126]http://www.vimeo.com/28495126[/video]
[video=vimeo;28495132]http://www.vimeo.com/28495132[/video]
[video=vimeo;28495463]http://www.vimeo.com/28495463[/video]
[video=vimeo;28495672]http://www.vimeo.com/28495672[/video]
[video=vimeo;28495799]http://www.vimeo.com/28495799[/video]
Nafuatilia hotuba ya mh raisi kikwete kwenye baraza la iddi kuoitia tbc 1.
Kwa kweli amejitahidi kuainisha ukweli wa mambo hususan katika sekta ya elimu,
japo naona kuna ma ustaadh wanamuangalia kwa roho mbaya kweli
hasa hasa anaposema baba wa taifa hili mwalimu nyerere alitaifisha
shule zote za dini na mashirika ziwe za serikali ili elimu itolewe bila ubaguzi.
Kudos j.k
n.b:
Mimi ni chadema, ila kiongozi wa ccm akisema jambo likanigusa hakika sitaacha kumfagilia.
Siasa sio uadui na kuona maovu ya mwenzako tu bila kuona mazuri wajameni.
[video=vimeo;28494765]http://www.vimeo.com/28494765[/video]
[video=vimeo;28495126]http://www.vimeo.com/28495126[/video]
[video=vimeo;28495132]http://www.vimeo.com/28495132[/video]
[video=vimeo;28495463]http://www.vimeo.com/28495463[/video]
[video=vimeo;28495672]http://www.vimeo.com/28495672[/video]
[video=vimeo;28495799]http://www.vimeo.com/28495799[/video]
Nafuatilia hotuba ya mh raisi kikwete kwenye baraza la iddi kuoitia tbc 1.
Kwa kweli amejitahidi kuainisha ukweli wa mambo hususan katika sekta ya elimu,
japo naona kuna ma ustaadh wanamuangalia kwa roho mbaya kweli
hasa hasa anaposema baba wa taifa hili mwalimu nyerere alitaifisha
shule zote za dini na mashirika ziwe za serikali ili elimu itolewe bila ubaguzi.
Kudos j.k
n.b:
Mimi ni chadema, ila kiongozi wa ccm akisema jambo likanigusa hakika sitaacha kumfagilia.
Siasa sio uadui na kuona maovu ya mwenzako tu bila kuona mazuri wajameni.