QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Nimekuwa nafuatilia matangazo kwenye TV kuwa kama kuna habari haijakupendeza, uwaambie. je wao ni kama mahakama? Magazeti yanayoendekeza udini na kutukana watu kama Habari leo, Al-kaida(sorry Al-huda) n.k na Channel Ten hawayaoni? Au hayo si sehemu ya habari?
Kama Baraza hilo lipo, linafanya nini na hivyo vyombo ambavyo vipo kwa ajili ya uchochezi?
:evil:
Kama Baraza hilo lipo, linafanya nini na hivyo vyombo ambavyo vipo kwa ajili ya uchochezi?
:evil: