Naomba kufahamu yafuatayo kuhusu Baraza la ardhi la Kata na Baraza la ardhi la Wilaya:
1. Wajumbe wake wanapatikanaje.
2. Idadi ya wajumbe.
3. Muda wa kazi kabla ya kubadilishwa/kuondolewa ni miaka mingapi.
4. Majukumu/kazi zake.
5. Malipo yao.
Na mengineyo kama yapo.
1. Wajumbe wake wanapatikanaje.
2. Idadi ya wajumbe.
3. Muda wa kazi kabla ya kubadilishwa/kuondolewa ni miaka mingapi.
4. Majukumu/kazi zake.
5. Malipo yao.
Na mengineyo kama yapo.