Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Una maana gani mkuu,nyie ndo wale wale tunaosema kila siku kua mnafikirishwa.Sio kila anayevaa suruali ni mwanaume.Jikomboe kwa kuondokana na fikra finyu na potofu zenye chuki dhidi ya Waislam.Sisi sote ni ndugu.Tukisimama pamoja,tukipeana moyo na kufarijiana,bila ya kuangalia huyu dini gani,adui HATAPATA nafasi ya kutuchonganisha.Ila kwa kauli zako hizo,Nivea,nasema Ole tena Ole maana si kila aniambiaye Bwana Bwana ataurithi ufalme wa mbinguni.
Nimeona hapo kwenye blue tu.