Baraza kivuli la CHADEMA ndani ya bunge ni batili halina sura ya muungano

Vitendo

JF-Expert Member
Oct 23, 2009
582
103
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
16/11/2010

YAH: BARAZA KIVULI LA CHADEMA NDANI YA BUNGE NI
BATILI HALINA SURA YA MUUNGANO
Ndugu
Waandishi wa habari,

Napenda kuwaeleza kwamba sura ya baraza kivuli lililoundwa na Chadema ndani ya Bunge la Jamhuri wa Muungano ni batili.

Limekuwa batili kwa sababu ya kukosa sura ya muundo wa muungano. Shulghuli zote za Bunge la Muungano ni sharti zijenge sura ya Muungano vinginevyo baraza kivuli la Chadema ni baraza kivuli la Tanzania Bara.

Kwa mantiki hiyo bado kuna nafasi kwa vyama vilivyo baki ambavyo havikuingizwa kwenye baraza kivuli la Chadema kuunda baraza kivuli mbadala litakalokuwa na sura ya muungano.

Kwa kuwa CUF ndio chama kilichokidhi sifa ya kimungano. Ni vema CUF ikatoa kiongozi wa upinzani bungeni.

Nachukua nafasi hii kumuomba Mhe: Spika wa Bunge tukufu kutoa maelekezo kuchagua baraza kivuli litakalokuwa na sura ya muungano.

Ndimi,

---------------------------------
Kom Fahmi Nasoro Dovutwa
Mwenyekiti-UPDP-(T)
 
Duh! Kuna watu wanaijua shari. Aliona kasahaulika anakumbushia
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
16/11/2010

YAH: BARAZA KIVULI LA CHADEMA NDANI YA BUNGE NI
BATILI HALINA SURA YA MUUNGANO
Ndugu
Waandishi wa habari,

Napenda kuwaeleza kwamba sura ya baraza kivuli lililoundwa na Chadema ndani ya Bunge la Jamhuri wa Muungano ni batili.

Limekuwa batili kwa sababu ya kukosa sura ya muundo wa muungano. Shulghuli zote za Bunge la Muungano ni sharti zijenge sura ya Muungano vinginevyo baraza kivuli la Chadema ni baraza kivuli la Tanzania Bara.

Kwa mantiki hiyo bado kuna nafasi kwa vyama vilivyo baki ambavyo havikuingizwa kwenye baraza kivuli la Chadema kuunda baraza kivuli mbadala litakalokuwa na sura ya muungano.

Kwa kuwa CUF ndio chama kilichokidhi sifa ya kimungano. Ni vema CUF ikatoa kiongozi wa upinzani bungeni.

Nachukua nafasi hii kumuomba Mhe: Spika wa Bunge tukufu kutoa maelekezo kuchagua baraza kivuli litakalokuwa na sura ya muungano.

Ndimi,

---------------------------------
Kom Fahmi Nasoro Dovutwa
Mwenyekiti-UPDP-(T)

Wewe si ulitangaza kuunga mkono CCM? Mbona unazungumzia upinzani kwa hoja hafifu? Hakuna sura za muungano pale kuna sheria na kanuni.
 
Muungano upi?...ambao zanzibar wameuvunja?........mbona muungano hakuna?...mwandishi uko sayari gani au pande zipi za tanganyika?...we unaamini kikwete ni rais wa muungano ambao haupo?...............mnapoteza muda kuzungumzia muungano wakati zanzibar imeshajitenga.....
 
kwani baraza kivuli lililopita lilikuwa na sura ya muungano? Au CUF walijisevia wenyewe tu. Kama ni hivyo kelele za nini wacha CHADEMA nao wapete
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
16/11/2010

YAH: BARAZA KIVULI LA CHADEMA NDANI YA BUNGE NI
BATILI HALINA SURA YA MUUNGANO
Ndugu
Waandishi wa habari,

Napenda kuwaeleza kwamba sura ya baraza kivuli lililoundwa na Chadema ndani ya Bunge la Jamhuri wa Muungano ni batili.

Limekuwa batili kwa sababu ya kukosa sura ya muundo wa muungano. Shulghuli zote za Bunge la Muungano ni sharti zijenge sura ya Muungano vinginevyo baraza kivuli la Chadema ni baraza kivuli la Tanzania Bara.

Kwa mantiki hiyo bado kuna nafasi kwa vyama vilivyo baki ambavyo havikuingizwa kwenye baraza kivuli la Chadema kuunda baraza kivuli mbadala litakalokuwa na sura ya muungano.

Kwa kuwa CUF ndio chama kilichokidhi sifa ya kimungano. Ni vema CUF ikatoa kiongozi wa upinzani bungeni.

Nachukua nafasi hii kumuomba Mhe: Spika wa Bunge tukufu kutoa maelekezo kuchagua baraza kivuli litakalokuwa na sura ya muungano.

Ndimi,

---------------------------------
Kom Fahmi Nasoro Dovutwa
Mwenyekiti-UPDP-(T)


Hauna U- komredi wowote Kaka, you are just another crap from Msanga, Kisarawe.
 
Dovutwa gani huyu yule mamaluki wa ccm au yupi,hauna akili mbuzi weeeeeeeeee
 
Sitashangaa Spika wa CCM kubadilisha kanuni za bunge ili kukidhi matakwa haya.

kuna issue nyingi zinatakiwa kujadiliwa mfano zanzibar mtu anakuwa mbunge kwa kupata kura 6,000 Tanzania bara kuna wabunge wamepata ubunge kwa kura 18,000. sijui ndugu Kom Fahmi Nasoro Dovutwa anapendekeza nini kwa spika juu ya hili.

Je ni sawa uki refelct wapiga kura kusema mbunge mmoja wa tanzania bara ni sawa na wabunge watatu wa Visiwani?
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
16/11/2010

YAH: BARAZA KIVULI LA CHADEMA NDANI YA BUNGE NI
BATILI HALINA SURA YA MUUNGANO
Ndugu
Waandishi wa habari,

Napenda kuwaeleza kwamba sura ya baraza kivuli lililoundwa na Chadema ndani ya Bunge la Jamhuri wa Muungano ni batili.

Limekuwa batili kwa sababu ya kukosa sura ya muundo wa muungano. Shulghuli zote za Bunge la Muungano ni sharti zijenge sura ya Muungano vinginevyo baraza kivuli la Chadema ni baraza kivuli la Tanzania Bara.

Kwa mantiki hiyo bado kuna nafasi kwa vyama vilivyo baki ambavyo havikuingizwa kwenye baraza kivuli la Chadema kuunda baraza kivuli mbadala litakalokuwa na sura ya muungano.

Kwa kuwa CUF ndio chama kilichokidhi sifa ya kimungano. Ni vema CUF ikatoa kiongozi wa upinzani bungeni.

Nachukua nafasi hii kumuomba Mhe: Spika wa Bunge tukufu kutoa maelekezo kuchagua baraza kivuli litakalokuwa na sura ya muungano.

Ndimi,

---------------------------------
Kom Fahmi Nasoro Dovutwa
Mwenyekiti-UPDP-(T)

Weka pressure kwenye kubadili katiba na sio kuwapinga Chadema. Pia, hilo ni tatizo la Wazanzibari kutowachagua Chadema na nafikiri ndio demokrasia yenyewe hiyo!!!!!!
 
Kwanza angetoa taarifa ya kukataa serikali ya umoja wa kitaifa ya Zanzibar kwani imeundwa na vyama viwili tu na hali kuna vyama 19 nchi hii(nirekebishwe kama sipo sahihi).
 
Sijui kwa nini watu wameamua kuwasema chadema sana hapa kwa baraza lao hili,mbona CUF wakati ule wakiwa na kina Lwakatare waliwahi kukaataa kuunda kambi ya upinzani na wenzao wengine? na tena Tambwe hiza amewahi kuohojiwa wakati huo na star tv juu ya msimamo huo wa CUF na aliongea mengi ikiwamo haki yao ya kuunda baraza hilo kwakuwa wao ndio wenye wabunge wengi na wametumiza masharti. Sasa leo kwa nini inaonekana chadema wa kwanza kufanya hivyo?
 
Fahami Dovutwa uchaguzi umeisha usahau tena vijisenti walivyokuwa wanakupa sisiem wakati wa kurudi kijiweni umewadia.
 
Sitashangaa Spika wa CCM kubadilisha kanuni za bunge ili kukidhi matakwa haya.

kuna issue nyingi zinatakiwa kujadiliwa mfano zanzibar mtu anakuwa mbunge kwa kupata kura 6,000 Tanzania bara kuna wabunge wamepata ubunge kwa kura 18,000. sijui ndugu Kom Fahmi Nasoro Dovutwa anapendekeza nini kwa spika juu ya hili.

Je ni sawa uki refelct wapiga kura kusema mbunge mmoja wa tanzania bara ni sawa na wabunge watatu wa Visiwani?


hivi uchina na ukubwa wake wanaviti vingapi UN ?
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
16/11/2010

YAH: BARAZA KIVULI LA CHADEMA NDANI YA BUNGE NI
BATILI HALINA SURA YA MUUNGANO
Ndugu
Waandishi wa habari,

Napenda kuwaeleza kwamba sura ya baraza kivuli lililoundwa na Chadema ndani ya Bunge la Jamhuri wa Muungano ni batili.

Limekuwa batili kwa sababu ya kukosa sura ya muundo wa muungano. Shulghuli zote za Bunge la Muungano ni sharti zijenge sura ya Muungano vinginevyo baraza kivuli la Chadema ni baraza kivuli la Tanzania Bara.

Kwa mantiki hiyo bado kuna nafasi kwa vyama vilivyo baki ambavyo havikuingizwa kwenye baraza kivuli la Chadema kuunda baraza kivuli mbadala litakalokuwa na sura ya muungano.

Kwa kuwa CUF ndio chama kilichokidhi sifa ya kimungano. Ni vema CUF ikatoa kiongozi wa upinzani bungeni.

Nachukua nafasi hii kumuomba Mhe: Spika wa Bunge tukufu kutoa maelekezo kuchagua baraza kivuli litakalokuwa na sura ya muungano.

Ndimi,

---------------------------------
Kom Fahmi Nasoro Dovutwa
Mwenyekiti-UPDP-(T)


Wewe Dovutwa unaweza kuwa sahihi au sio sahihi, ili kuondoa huu utata tupe kifungu cha sheria kinachosema baraza lazima liwe na waziri kutoka Zanzibar.
 
duuuu muungano upi??? huuu ulioshikwa na Gundi!?? unaohitaji katiba mpya kuufufua??
mnanichanganya jamani hv kwani hajui kuwa muungano umeshakufa???
TUUOKOE MUUNGANO WETU KWA KUTENGENEZA KATIBA YETU!
 
Kwa taarifa yako kwa mujibu wa kura za Rais wa Muungano Kikwete hakuchaguliwana wanapiga kura wa Zanzibar. Hivi basi yeye sio rais wa Muungano bali wa Tanzania Bara. Of course hii ni kama kura za Bara nazo zilikuwa sahihi.
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
16/11/2010

YAH: BARAZA KIVULI LA CHADEMA NDANI YA BUNGE NI
BATILI HALINA SURA YA MUUNGANO
Ndugu
Waandishi wa habari,

Napenda kuwaeleza kwamba sura ya baraza kivuli lililoundwa na Chadema ndani ya Bunge la Jamhuri wa Muungano ni batili.

Limekuwa batili kwa sababu ya kukosa sura ya muundo wa muungano. Shulghuli zote za Bunge la Muungano ni sharti zijenge sura ya Muungano vinginevyo baraza kivuli la Chadema ni baraza kivuli la Tanzania Bara.

Kwa mantiki hiyo bado kuna nafasi kwa vyama vilivyo baki ambavyo havikuingizwa kwenye baraza kivuli la Chadema kuunda baraza kivuli mbadala litakalokuwa na sura ya muungano.

Kwa kuwa CUF ndio chama kilichokidhi sifa ya kimungano. Ni vema CUF ikatoa kiongozi wa upinzani bungeni.

Nachukua nafasi hii kumuomba Mhe: Spika wa Bunge tukufu kutoa maelekezo kuchagua baraza kivuli litakalokuwa na sura ya muungano.

Ndimi,

---------------------------------
Kom Fahmi Nasoro Dovutwa
Mwenyekiti-UPDP-(T)

Je katika uchaguzi wa mwaka 2005 wabunge wa CUF walikuwa wanauwiano wa sura ya Muungano? au kwa vile ni CHADEMA mnataka kupindisha mambo?
 
Back
Top Bottom