Pana haja ya kumpongeza Mama Samia kwa spana zake hadi tukae sawa. Hakuna namna, maana wajinga ni wengi mno!
Eti nyoyo za watu zaonekana kuwa na maduku duku. Kwani tulitegemea dodo chini ya mnazi?
Kwamba nyuso za watu haziakisi furaha na baraza jipya? Kwamba baraza zima halikuvunjwa kuanza na timu mpya? Kwamba kina Riz moko, Nape, na kina January wako ndani ya nyumba?
Kwamba pascal pamoja na yote angali kijiweni?
Kwani hao wa kila siku si ndiyo wanayo mitaji minono tayari na hata fursa za connection kibao kuweza kujiajiri kwa tija? Kwani wao kujiajiri haiwahusu?
Hata hivyo mama endelea kupiga spana hadi ijulikane hii nchi ni mali ya nani.
Kabla ya kuelewana kuwa maadui na marafiki si wa kudumu bali agenda, mama na aendelee kuupiga mwingi tu.
Ila angalizo:
Tanzania ijayo (Mungu mkubwa, ikitupendeza) ajira zote zitakuwa ni za mkataba miaka mitatu mitatu, renewable mara moja tu. Mtu mmoja hatakuwa kwenye ajira ya umma (na kama vipi, ikitupendeza zaidi, hata binafsi) kwa miaka sita.
Hii itakuwa kwa watu wote across the board isipokuwa rais na wabunge watakao kuwapo ofisini kwa miaka minne minne renewable once.
Eti nyoyo za watu zaonekana kuwa na maduku duku. Kwani tulitegemea dodo chini ya mnazi?
Kwamba nyuso za watu haziakisi furaha na baraza jipya? Kwamba baraza zima halikuvunjwa kuanza na timu mpya? Kwamba kina Riz moko, Nape, na kina January wako ndani ya nyumba?
Kwamba pascal pamoja na yote angali kijiweni?
Kwani hao wa kila siku si ndiyo wanayo mitaji minono tayari na hata fursa za connection kibao kuweza kujiajiri kwa tija? Kwani wao kujiajiri haiwahusu?
Hata hivyo mama endelea kupiga spana hadi ijulikane hii nchi ni mali ya nani.
Kabla ya kuelewana kuwa maadui na marafiki si wa kudumu bali agenda, mama na aendelee kuupiga mwingi tu.
Ila angalizo:
Tanzania ijayo (Mungu mkubwa, ikitupendeza) ajira zote zitakuwa ni za mkataba miaka mitatu mitatu, renewable mara moja tu. Mtu mmoja hatakuwa kwenye ajira ya umma (na kama vipi, ikitupendeza zaidi, hata binafsi) kwa miaka sita.
Hii itakuwa kwa watu wote across the board isipokuwa rais na wabunge watakao kuwapo ofisini kwa miaka minne minne renewable once.