Heshima kwa wote. Ujanja wa JK. J.K anampango wa kubadilisha baraza la mawaziri na siyo kuwawajibisha mawaziri waliyofuja mali za umma. Ujanja anaotaka kuutumia J.K si kuwawajibisha ila atabadili baraza zima na kuwaacha wale waliyo husika ili ionekane kuwa hawajawajibishwa bali ni timua timua ya wengi. Kwa hiyo msahau kuhusu wao kupelekwa mahakamani. Kwani akiwawajibisha mawaziri hao pekee atalazimika kupambana na upepo wa kuwapeleka mahakamani.