The Informer
Senior Member
- Jun 14, 2010
- 119
- 29
Cabinet mpya hii hapa
Kikwete anatarajia kuchanganya sura mpya chache na za zamani nyingi kwenye baraza lake la mawaziri analotarajiwa kulitangaza wiki ijayo. Aidha huenda akapunguza ukubwa wa baraza lake la mawaziri na kuwa na watu takribani 40 badala ya 60.
Ifuatayo ni orodha ya mawaziri wake watarajiwa.
SURA ZA ZAMANI KURUDI
1. Waziri Mkuu Mizengo Pinda
2. Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe
3. John Magufuli (atapewa Wizara ya Miundombinu au nyingine muhimu)
4. John Mkuchika (swahiba wa Kikwete)
5. Prof. Mark Mwandosya
6. Dr Hussein Mwinyi
7. Prof. David Mwakyusa
8. Dr Shukuru Kawambwa (swahiba wa Kikwete)
9. Prof. Juma Kapuya (swahiba wa Kikwete)
10. Dr Mary Nagu
11. Dr. Mathayo David Mathayo (Waziri wa Kilimo)
12. John Chiligati
13. Khamis Kagasheki
14. Lucy Nkya
15. Mustafa Mkulo
16. Hawa Ghasia
17. Sofia Simba
18. Mathias Chikawe
19. Omar Yusuf Mzee
20. William Ngeleja
SURA MPYA chache
1. Prof. Anna Tibaijuka (Waziri wa Ardhi au Maliasili/Utalii)
2. January Makamba (naibu waziri foreign au afrika mashariki, baadaye kuwa full minister)
3. Anne Makinda (full minister iwapo atakosa kuwa spika)
4. Lazaro Nyalandu (naibu waziri, swahiba wa jk)
5. Athuman Rashid Futakamba
6. Zakia Meghji (asante yake kwa kuchangisha pesa za kampeni za CCM)
7. Amos Makala (naibu waziri)
8. Mbunge wa kuteuliwa1
9. Mbunge wa kuteuliwa2
10. Mbunge wa kuteuliwa3
CONCLUSION: Cabinet 'mpya' ya Kikwete itakuwa ni mvinyo ule ule mchachu wa zamani kwenye chupi mpya. Watanzania tutarajie miaka 5 zaidi ya mateso chini ya utawala wa Dokta (asiye na PhD) Kikwete.
Source: Tetesi za maofisa serikalini
Kikwete anatarajia kuchanganya sura mpya chache na za zamani nyingi kwenye baraza lake la mawaziri analotarajiwa kulitangaza wiki ijayo. Aidha huenda akapunguza ukubwa wa baraza lake la mawaziri na kuwa na watu takribani 40 badala ya 60.
Ifuatayo ni orodha ya mawaziri wake watarajiwa.
SURA ZA ZAMANI KURUDI
1. Waziri Mkuu Mizengo Pinda
2. Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe
3. John Magufuli (atapewa Wizara ya Miundombinu au nyingine muhimu)
4. John Mkuchika (swahiba wa Kikwete)
5. Prof. Mark Mwandosya
6. Dr Hussein Mwinyi
7. Prof. David Mwakyusa
8. Dr Shukuru Kawambwa (swahiba wa Kikwete)
9. Prof. Juma Kapuya (swahiba wa Kikwete)
10. Dr Mary Nagu
11. Dr. Mathayo David Mathayo (Waziri wa Kilimo)
12. John Chiligati
13. Khamis Kagasheki
14. Lucy Nkya
15. Mustafa Mkulo
16. Hawa Ghasia
17. Sofia Simba
18. Mathias Chikawe
19. Omar Yusuf Mzee
20. William Ngeleja
SURA MPYA chache
1. Prof. Anna Tibaijuka (Waziri wa Ardhi au Maliasili/Utalii)
2. January Makamba (naibu waziri foreign au afrika mashariki, baadaye kuwa full minister)
3. Anne Makinda (full minister iwapo atakosa kuwa spika)
4. Lazaro Nyalandu (naibu waziri, swahiba wa jk)
5. Athuman Rashid Futakamba
6. Zakia Meghji (asante yake kwa kuchangisha pesa za kampeni za CCM)
7. Amos Makala (naibu waziri)
8. Mbunge wa kuteuliwa1
9. Mbunge wa kuteuliwa2
10. Mbunge wa kuteuliwa3
CONCLUSION: Cabinet 'mpya' ya Kikwete itakuwa ni mvinyo ule ule mchachu wa zamani kwenye chupi mpya. Watanzania tutarajie miaka 5 zaidi ya mateso chini ya utawala wa Dokta (asiye na PhD) Kikwete.
Source: Tetesi za maofisa serikalini