Baraza jipya la Mawaziri kujulikana Feb 12

Wa TZ naomba tuwe wavumilivu kidogo.Hapo inaonyesha dhahiri mchakato bado unaendelea ndani kwa ndani kadri muda unavyoendelea.Hiyo ni sign nzuri tuu.Ninahisi jana aliwateua ila marekebisho bado yanaendelea hata kama ikifikia next week poa tuu. Maana muda wakujaribu jaribu hana tena sasa hivi!!! Mpeni muda kama anavyosemaga...
 
Habari za uhakika hapa Dodoma ni kwamba anataka kuwa inckude wapinzani na sasa ndiyo maongezi yanafanyika.So tegemeeni kupata wapinzani 3 kwenhye Baraza jipya kama wapinzani watakubali .Majina nitawapa baadaye I am working on the names.
 
Habari zinasema moshi huo mweupe utaonekana saa nane mchana leo..watu wanazidi kupata kihoro cha kusubiri....inaonekana kuna screening kali sana kwa hawa mawaziri wajao
 
Habari zinasema moshi huo mweupe utaonekana saa nane mchana leo..watu wanazidi kupata kihoro cha kusubiri....inaonekana kuna screening kali sana kwa hawa mawaziri wajao

Hakuan screening ila kuna usanii na majadiliano navyama vya siasa .
 
Ina maana hizi sources reliability ikoje? huyu michuzi anapata wapi hizi habari....
hii nimeipata just 5minutes ago.... why.... kwa nini????


DODOMA KUMEKUCHA
HABARI TOKA DODOMA ZINASEMA WADAU WA HABARI WA NDANI NA NJE YA NCHI WAMESHAKAA SEHEMU WALIYOPANGIWA HUKO IKULU NDOGO YA DODOMA WAKISUBIRI LIBENEKE LA BARAZA LA MAWAZIRI LIANZE. TUFANYE SUBIRA, ZIMEBAKI DAKIKA KAMA 15 TU NA GLOBU YENU HII YA JAMII ITAKUWA NANYI HEWANI KUWALETEA VITU LAIVU.
KWA SASA TURUDI STUDIO KWA MATANGAZO MADOGOMADOGO...

© Michuzi Tarehe: 12.2.08
 
Majina ninayo

mstahiki hautusaidii na hiyo statement yako...
Mbona watu wameanza kuleta ishu kama za kushindana kwenye mtihani!! Huu sio mtihani na wala huwezi kupata maksi nyingi kwa kuficha info....

Kama una info iweke kama hauna there is no need ya kujiproud hapa.... there is no Contest here!!!!
 
Huyu Bwana Kikwete yaani yeye mambo yake ni ya bra bra tu.Huwa hawi serious.Yani baraza tu ataahirisha utafikiri kuna nini sijui.Basi angekuwa anaahirisha akiwa msiri lakini mambo yake yooote nje nje.Ovyo
 
TVT wana confirm hapa kwamba baraza ni saa tisa na JK anafanya mashauriano na wale alio wateua na waandishi mnatakiwa kuwa ndani ya Ukumbi wa Tamisemi on time .
 
mstahiki hautusaidii na hiyo statement yako...
Mbona watu wameanza kuleta ishu kama za kushindana kwenye mtihani!! Huu sio mtihani na wala huwezi kupata maksi nyingi kwa kuficha info....

Kama una info iweke kama hauna there is no need ya kujiproud hapa.... there is no Contest here!!!!


Mkuu ilibidi abadilishe timu pale majina fulani fulani yalipo liki. sitaki kuwaalia watu ugali wao.
 
kuhusu wapinzani kuwekwa katika Barza jipya la Mawaziri,Basi utabiri utakuwa umetimia,JK to be one term president.Kwanza itakuwa aibu kwa chama.ina maana chama kimekosa watu mpya achague watu wa upinzani??kama kashauriwa hivyo atakuwa anajimaliza mwenyewe katika CCM.

Upande wa Wapinzani kukubali kuingia madarakani ni kukubali kutekeleza seara ya chama cha Mapinduzi ambayo inapingana na sera zao,na ninavyofahamu kiapo cha pili anachoaapa waziri au Naibu waziri kinamfunga kufanya mambo kwa matakwa yake binafsi.(kumbuka Mrema).hapo hapo hata serikali ikishindwa kutekeleza Matakwa yao ina maana na wapinzani watakuwa wameungana nao katika hilo.

Huu utakuwa Mtaji Mkubwa wa kisisasa kwa wanasiasa kama Mtikila na Vyama Vyao ambao hawatakuwamo katika baraza la Mawaziri,Mtaungana nao katika uchafu wote wa EPA,Suala la Madini na mambo yote machafu ambayo CCM ya wafanyabiashara wanayasimamia. sababu mtakuwa ndani ya kiapo!labda mje mseme nje ya kiapo kwamba mlitolewa 'Bangusilo'.

Kimsingi kama Jk akiwap wapinzani na wakakubali,Basi sitakipa chama cha Upinzani Kura yangu,au ndio mambo ya kina Mzee Mwanakijiji,Kama ukiona mtu anakushinda unaungana naye?au ndio walichukuwa wanakitaka(rejea Hotuba ya Waziri Mkuu wakati akitangaza adhma yake kujizuru).

Kama Zitto,Mdee na Hamad Rashid Mko Tayari,Kila la kheri. Na huu ndio utakuwa Mwisho wenu kisiasa.Ndio mtakuwa mnawapa Ushindi CCM,

Naamini JF huru ndio itakuwa Chama Cha Upinzani.tusikate Tamaa Bali tuweke Msimamo thabiti sababu Subira huvuta Heri
 
Back
Top Bottom