JK ni CCM damu na haamini katika Upinzani kwa undani ila kwa nje. Ana chuki mbaya na upinzani na hata imefikia sasa anaogopa kuwa na Mgombea binafsi. JK anasema yote ila chini kwa chini wanawanunua wapinzani. Makamba anafanya haina maana kwamba JK hajui haya. Wako wapi akina Tambwe and the likes. JK anaweza kufanya mabadiliko lakini si kuwapa wapinzani nafasi. Mimi wala siombei wapewe nafasi ila sheria ya Uchaguzi ziwe huru kabisa hapo utaona watakavyo washindwa CCM na kuichukua Nchi. Kazi ni kubwa hata donors wamegomea pesa zao hadi waone mwelekeo JK ana mengi moyoni .Anavyo penda safari kaacha kwenda Ulaya? Kweli yamemfika.
Kuna taarifa kwamba JK anafikiria kuwateua Mh. Zitto na Mh. Rashid Mohamed kuwa katika baraza jipya la mawaziri .... inasemekana ndiyo sababu halijatangazwa bado; akiamua hivyo atawaita leo (kama bado hajawaita); ili kuweka mambo sawa .... vinginevyo kesho baraza ni CCM watupu.