Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
In all fairness to Mama Kilango, nilivyofuatilia mjadala wa Zitto kuzibwa mdomo Mama Kilango aliprotest kwa kutoka nje ya bunge naamini baada ya machinery ya CCM kum-silence, mpaka magazeti yaliandika.
Sio kila mbunge wa CCM ana partisan politics.Tunahitaji kila mbunge atakayetusaidia katika vita dhidi ya ufisadi.Bila huyu mama taarifa za Hansard zingekuwa zina rekodi ya mwisho kwamba Lowassa kaonewa according to his resignation speech (albeit with no point by point rebuttal).Mama Kilango ali set the record straight kwa kusoma vimemo bungeni.It takes courage in CCM to do that at a time when some CCM MPs were clearly defending Lowassa.
Pundit
Huyu Mama mimi nilisha sema hapa kabla kwamba hakuanza leo .Wakati wa Zitto walked out kuonyesha kukerwa kwake na CCM wanajua .Si yeye pekee.Akina Meghji , Nagu na wengine wengi walikuwa wanampa Zitto kudo maana wanajua na walikuwa wanaona Nchi inavyo liwa . Spika hana maana kabisa . Huyu mama juzi alisema kitu kikubwa sana nadhani anakifanya sasa .Kwamba akifa bado awe anaishi kama Mwalimu .This is very enough kuliko Mwakenyembe kupata uwaziri. It is absurd watu kufikiri kwamba kila shujaa awe rewarded cheo . Hakuna kitu kama hiki mapambano ndiyo yalivyo .Mama Melecela nasema endelea una mapungufu yako nayajua sana lakini hafikii unayo simamia .