Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,287
Yule muhamadHuo ndio utaratibu tuliotegemea kuusikia kutoka kwa viongozi hususan Dar es Salaam kwenye maambukizi mengi. Nilitegemea Makonda awe ameelekeza hivyo muda mrefu uliopita ila ndio hivyo!
Sishaji wa kufagia anaendelea na matamko
Sent using Jamii Forums mobile app