Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
BARAKA ZA WAZAZI
Baraka zinazoachiliwa na wazazi wa kimwili baba yako na mama yako,ni nyingi kuliko zinazopatikana kwa wazazi wa kiroho.(manabii nk)
Umeshonea suti manabii na wachungaji,baba yako hujawahi kumfanyia hivyo
Ni mkarimu sana kwa nyumba ya mchungaji au manabii Nyumbani mara ya mwisho kumtumia mama yako ya vocha ilikuwa mwaka juzi.
Na wengine wazazi wenu ni ombaomba au wanaishi kwa Ndugu, halafu wewe unahudumia manabii
Wengine hamuendi hata nyumbani, bize mjini mnakanyaga mafuta.
Ukitelekeza wazazi wa kimwili ukawa bize na wazazi wa kiroho baraka utazisikia tu
Mungu anawatumia sana wazazi wako,lipo kusudi la wewe kukupitisha kwenye tumbo na kiuno hicho.USIWACHUKULIE POA ETI.
Look back to your parents INSTEAD of prophets
Baraka zinazoachiliwa na wazazi wa kimwili baba yako na mama yako,ni nyingi kuliko zinazopatikana kwa wazazi wa kiroho.(manabii nk)
Umeshonea suti manabii na wachungaji,baba yako hujawahi kumfanyia hivyo
Ni mkarimu sana kwa nyumba ya mchungaji au manabii Nyumbani mara ya mwisho kumtumia mama yako ya vocha ilikuwa mwaka juzi.
Na wengine wazazi wenu ni ombaomba au wanaishi kwa Ndugu, halafu wewe unahudumia manabii
Wengine hamuendi hata nyumbani, bize mjini mnakanyaga mafuta.
Ukitelekeza wazazi wa kimwili ukawa bize na wazazi wa kiroho baraka utazisikia tu
Mungu anawatumia sana wazazi wako,lipo kusudi la wewe kukupitisha kwenye tumbo na kiuno hicho.USIWACHUKULIE POA ETI.
Look back to your parents INSTEAD of prophets