Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,624
- 218,047
Hii ndio Taarifa mpya iliyotufikia usiku huu, inadaiwa kwamba mtu huyu mzalendo, aliyetekwa na kunusurika kuuawa na Janjawidi pamoja na Mazombie, ambao ni watekaji maalum wa Zanzibar (Tanganyika wanaitwa wasiojulikana), hata baada ya kuokotwa na Majeraha makubwa bado ametimuliwa ndani ya CCM.
Bado haijajulikana ni vikao gani vya ccm vya ngazi ipi vilivyokubaliana kumfuta uanachama.
Pia soma: Shamte: Katiba ya nchi haijasema 'Head of State' atawale miaka 10, miaka mitano ikiisha tutafute Rais mwingine lakini siyo huyu
======
CCM Mkoa wa Mjini Zanzibar imemfukuza Uanachama Mwanasiasa Baraka Shamte ikisema ni sababu amekashifu madaraka ya Rais Dkt. Hussein Mwinyi hadharani.
Uamuzi huu umekuja baada ya Shamte kuzungumza mambo mbalimbali na video yake kusambaa huku moja ya kauli zake ikisema: “Ukitaka utajiri acha uongozi ukafanye biashara, miiko ya uongozi haifuatwi”.
Imeelezwa kwamba Mzee Baraka Shamte amelazwa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Unguja Zanzibar kutokana na kupigwa na Watu wasiojulikana ambapo Polisi Zanzibar, leo wamekiri kupokea taarifa za kujeruhiwa kwa Mzee huyu mwenye umri wa miaka 83 akiwa eneo la Unguja Ukuu.
==================
Baraka Shamte akizunguma kuhusu utawala wa Zanzibar
SERIKALI YALAANI SHAMTE KUJERUHIWA
TAMKO LA JESHI LA POLISI ZANZIBAR
Bado haijajulikana ni vikao gani vya ccm vya ngazi ipi vilivyokubaliana kumfuta uanachama.
Pia soma: Shamte: Katiba ya nchi haijasema 'Head of State' atawale miaka 10, miaka mitano ikiisha tutafute Rais mwingine lakini siyo huyu
======
Uamuzi huu umekuja baada ya Shamte kuzungumza mambo mbalimbali na video yake kusambaa huku moja ya kauli zake ikisema: “Ukitaka utajiri acha uongozi ukafanye biashara, miiko ya uongozi haifuatwi”.
Imeelezwa kwamba Mzee Baraka Shamte amelazwa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Unguja Zanzibar kutokana na kupigwa na Watu wasiojulikana ambapo Polisi Zanzibar, leo wamekiri kupokea taarifa za kujeruhiwa kwa Mzee huyu mwenye umri wa miaka 83 akiwa eneo la Unguja Ukuu.
==================
Baraka Shamte akizunguma kuhusu utawala wa Zanzibar
SERIKALI YALAANI SHAMTE KUJERUHIWA
TAMKO LA JESHI LA POLISI ZANZIBAR