goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,815
- 12,875
Nimekuwa nikifatilia michuano hii mikubwa Duniani kwa lugha yetu ya Kiswahili.
Mimi shabiki wako kindakindaki sijakusikia kabisa ukiunguruma sauti ya radi, mwamba wa rumalila kutangaza mpira huu. Nimemsikia, Georg Ambagile Wasafi FM, Maulid Kitenge EFM, Ahmed Wasafi, Edgar Kibwana CMG.
Ila wewe sijakusikia kabisa, vipi umekosa connection au ndiyo tuseme mwajiri wako mkuu Azam Media hawajakupa ruhusa au wamekuonea gere tu?
Ingependeza sana upewe mechi zote za nusu fainali.
Mimi shabiki wako kindakindaki sijakusikia kabisa ukiunguruma sauti ya radi, mwamba wa rumalila kutangaza mpira huu. Nimemsikia, Georg Ambagile Wasafi FM, Maulid Kitenge EFM, Ahmed Wasafi, Edgar Kibwana CMG.
Ila wewe sijakusikia kabisa, vipi umekosa connection au ndiyo tuseme mwajiri wako mkuu Azam Media hawajakupa ruhusa au wamekuonea gere tu?
Ingependeza sana upewe mechi zote za nusu fainali.