Baraka da Prince ulidoondoka umesimama tena.. Hongera sana... #tokota

data

JF-Expert Member
Apr 9, 2011
26,138
22,709
Nampongeza sana sana kijana huyu..kwa kuyumba sana hapa majuzi ila ameweza yashinda mapito na kurejea tena.

Situation aliyokuwa nayo angeweza kujiingiza katika uraibu wa vileo ..madawa na kadhalika. Ila hakufanya hivyo bila shaka alikaa upande wa Mungu.

Wimbo wake huu #tokota mtakubaliana nami ni supa comeback...everything is on point.
Hongera sana.
Tunasubiri video. Usituangushe.
 
Nampongeza sana sana kijana huyu..kwa kuyumba sana hapa majuzi ila ameweza yashinda mapito na kurejea tena.

Situation aliyokuwa nayo angeweza kujiingiza katika uraibu wa vileo ..madawa na kadhalika. Ila hakufanya hivyo bila shaka alikaa upande wa Mungu.

Wimbo wake huu #tokota mtakubaliana nami ni supa comeback...everything is on point.
Hongera sana.
Tunasubiri video. Usituangushe.
 
We jamaa si umeamuakuslimu na kufuata dini ya demu?
Jina lako la.kislamu nani sasa ?
 
Nampongeza sana sana kijana huyu..kwa kuyumba sana hapa majuzi ila ameweza yashinda mapito na kurejea tena.

Situation aliyokuwa nayo angeweza kujiingiza katika uraibu wa vileo ..madawa na kadhalika. Ila hakufanya hivyo bila shaka alikaa upande wa Mungu.

Wimbo wake huu #tokota mtakubaliana nami ni supa comeback...everything is on point.
Hongera sana.
Tunasubiri video. Usituangushe.


Jamaa kajitahidi kwa kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom