data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,138
- 22,709
Nampongeza sana sana kijana huyu..kwa kuyumba sana hapa majuzi ila ameweza yashinda mapito na kurejea tena.
Situation aliyokuwa nayo angeweza kujiingiza katika uraibu wa vileo ..madawa na kadhalika. Ila hakufanya hivyo bila shaka alikaa upande wa Mungu.
Wimbo wake huu #tokota mtakubaliana nami ni supa comeback...everything is on point.
Hongera sana.
Tunasubiri video. Usituangushe.
Situation aliyokuwa nayo angeweza kujiingiza katika uraibu wa vileo ..madawa na kadhalika. Ila hakufanya hivyo bila shaka alikaa upande wa Mungu.
Wimbo wake huu #tokota mtakubaliana nami ni supa comeback...everything is on point.
Hongera sana.
Tunasubiri video. Usituangushe.