nkosikazi
JF-Expert Member
- Mar 11, 2010
- 359
- 334
Mara nyingi sana huyu mtangazaji wa channel ten kipindi cha baragumu live amekuwa akimwalika kijana mmoja huyo huyo aje kuzungumza mambo nyeti yasiyo na staha yoyote kuhusu viungo vya siri na tendo la ndoa.
Kipindi kiko asubuhi saa 1 wakati watoto wetu wako macho kabisa na ndo wanajiandaa mambo ya asubuhi.
Nashindwa kuelewa kama regulatory authority wameliona hili au hawajaliona? Au kwao kila kitu ni sawa tu?
Inashangaza sana!
Kipindi kiko asubuhi saa 1 wakati watoto wetu wako macho kabisa na ndo wanajiandaa mambo ya asubuhi.
Nashindwa kuelewa kama regulatory authority wameliona hili au hawajaliona? Au kwao kila kitu ni sawa tu?
Inashangaza sana!