Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Habari zenyu bana!inasikitisha kidogo,juzi usiku nimepokea sms kutoka kwa mpenzi wangu ananishauri tuwe marafiki kama zamani.Nilijaribu kumtafuta nimuulize,nilimpata kwenye simu hakutaka kuongea na mm kwa muda mrefu.Hii kauli yake inamaana gani?