princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,197
- 2,051
"Chama anza vizuri kwake Bocco Bocco ana'turn vizuri kabisa pale .Pembeni Kwake Hassan Dilunga HD..Dilunga mwaga ndani kuleee Cluuuuuuuuuuu.....Maajabu!!!,Maajabu!!!,(Anakaa kimya kama dakika mbili. hivi).....Haya ni maajabu linafungwa goli gani hili??Macho yako yameona kama mimi.!?...Nauliza Macho yako yameona kama mimi..?!....Nani walisema Simba hawaendi Hatua ya Makundi..!!??".
Mpe neno moja huyu Jombaa ni moja ya Watangaza mpira live bora hapa Bongo kwa era hii kutoka Azam Media.
@ChaliiYaKijengeJuu.
Mpe neno moja huyu Jombaa ni moja ya Watangaza mpira live bora hapa Bongo kwa era hii kutoka Azam Media.
@ChaliiYaKijengeJuu.