MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,757
- 48,403
Hujui kama chato kuna national park?? Sikia nikuambie jirani. Sgr ni lazima iishe ATC imepata hasara ya bil 60 while kQ imepata hasara ya bil 700 nani ana hasara zaidi??? Doller 300m unajenga nyumba ngapi pale kibera wanyonge wakaishi kama binadamu wengine??
Kwa hivyo ndege kubwa kubwa za kimataifa zitatua Chato kushusha watalii kuja kuona wanyama...hehehe haya bana.
ATCL mlituambia mnapokea gawio la faida, leo mnaumbuka....