Wagombeaji ni kipindi cha kuangalia upya uwezekano wa Majiji yote kuwa na barabara njia nne zinazoingia na kutoka kwenye majiji ili kuondoa msongamano wa magari lakini pia kuyafanya yawe na hadhi ya kimataifa.
Jiji la Mwanza Mbeya Tanga na Dodoma yanahitaji kwa haraka yawe na njia Nne kwani ni zaidi ya miaka 50 njia imebaki moja tu. Huu ni mtaji.
Maendeleo hayana Chama.
Changamkieni hili kwenye ahadi zenu.
Kura yangu kwa JPM.
Jiji la Mwanza Mbeya Tanga na Dodoma yanahitaji kwa haraka yawe na njia Nne kwani ni zaidi ya miaka 50 njia imebaki moja tu. Huu ni mtaji.
Maendeleo hayana Chama.
Changamkieni hili kwenye ahadi zenu.
Kura yangu kwa JPM.