ni kweli usemayo mkuuFikra nzuri. Nchi nyingi za ulaya wana toza ada kwa magari yanayo ingia au kupita mjini na imepunguza idadi ya magari, na pia mawetengeneza barbara kwa ajili ya mabasi tu na badhi ya barabara wameyazuia magari ya kawaida kwa ajili ya mabasi tu, hiyo ni kuwapa kipaumbele watu watumiyao public transport.
Wapo mkuu...bado tender zinaweza kutangazwa kimataifa!!!
Mkuu kupanga ni kuchagua...hata leo it can be doneSerikali ianzishe road tolls kwa magari yote yanayokuja downtown Dar. Mapato ya road tolls hizo yatachangia kupatikana kwa hela za kufanya ukarabati wa beltlines/beltways uanzishwaji wa metro trains (sio hiyo ya Mwakyembe).
Kila gari lilipe flat rate ya 500 TZS kila wakati litakapovuka toll na kuingia mjini.
Foleni Dar ni kero...yaani from town to Mbezi 4 hours??!!
Hebu toeni leseni za private roads wenye plans na pesa wazijenge ili wenye haraka wachangie road toll wapite huko tuwaachie misululu yenu ya bure!!
Mkuu nafahamu ulipiaji wa road toll katika kila lita unayonunua.issue ni kwamba kuubadili mji ni kazi zaidi kuliko kuongeza na kuimarisha barabara..kuna vitu kama bandari havihamishiki mkuu lMkuu aliyekuambia barabara hizi za bure ni nani ?? ..unalipia pale unaponunua mafuta ! Road toll ilikuwepo toka miaka ya nyuma, kama unakumbuka pale chalinze lilikuwepo geti la kulipia . Kulikuwa na ujanja ujanja mwingi na matokeo yake kodi ikawa haionekani serikali ikaamua kuhamishia kodi hiyo kwenye mafuta ili ilipwe kilazima yaani hata ukienda kununua mafuta ya jenereta unalipa road toll!!
Idea yako ya barabara ijengwe na kodi ikusanywe na private sector ni nzuri ,hata afrika kusini barabara zinajengwa na mapato yanasimamiwa na private sector na zimbabwe nao wanajenga toll gates kama za Rsa .
Lakini kwa nini tusifikiri nje ya box!! Hivi kwa nini kila kitu kipatikane kariakoo na posta ?? Kwanini mji wa kibaha ambao ni pori kwa kiasi kikubwa usiwe upgraded ili huduma watu wanazozifuata posta ikiwemo wizara kadhaa malls n.k. zihamishiwe sehemu ambazo zina nafasi na mji upangwe upya bila kubomoa nyumba za watu!! Mind you kuna pori kama la kisarawe ,msitu wa pande n.k yangeweza kujenga vitu vya kupromote relief kwa morogoro road.
Kwa bahati mbaya sana siasa za bongo zinadictate maswala ya kitaalamu ,
Serikali ianzishe road tolls kwa magari yote yanayokuja downtown Dar. Mapato ya road tolls hizo yatachangia kupatikana kwa hela za kufanya ukarabati wa beltlines/beltways uanzishwaji wa metro trains (sio hiyo ya Mwakyembe).
Kila gari lilipe flat rate ya 500 TZS kila wakati litakapovuka toll na kuingia mjini.