Sababu ya ChademaBarabara za jimbo la ukonga zote mbovu sijui tumekosea wapi.
Wakati katika majimbo mengine ukarabati wa barabara upo kwa kasi kubwa ni tofauti kabisa kwa jimbo la ukonga.
Mbunge wetu ebu tusaidie wananchi wako.
Kodi za kwenu lakini mnaomba msaada? shame on uBarabara za jimbo la ukonga zote mbovu sijui tumekosea wapi.
Wakati katika majimbo mengine ukarabati wa barabara upo kwa kasi kubwa ni tofauti kabisa kwa jimbo la ukonga.
Mbunge wetu ebu tusaidie wananchi wako.
Wapinzani walichelewesha maendeleoBarabara za jimbo la ukonga zote mbovu sijui tumekosea wapi.
Wakati katika majimbo mengine ukarabati wa barabara upo kwa kasi kubwa ni tofauti kabisa kwa jimbo la ukonga.
Mbunge wetu ebu tusaidie wananchi wako.
CCM kuanzia mjumbe wa shina mpaka RaisHuko mna treni na ndege vitumieni hivyo
Ndiyo hayo sasaWapinzani walichelewesha maendeleo
Ungekuwa karibu mtoa mada angekulamba makofiHuko mna treni na ndege vitumieni hivyo
Jerry slaa mbunge wetu uko wapi???Watu wa Msongola tunataabika sana na ubovu wa barabara huku.
Ukiamua kuelekea Banana shida na ukiamua kuelekea Mbagala shida vilevile!!
Nadhani jimbo letu la Ukonga ni la mwisho kwa miundombinu mibovu jijini Daressalaam.