Barabara ya Njia nne Namanga- Tengeru mkoani Arusha mbona inasomeka ni Mradi wa EAC?

Yes. Mradi umeanza 28 Nov 2012. Gambo alikuwa wapi by then?
Hapo ndio ujenzi ulianza? Na unajua huu mradi ulikuwa na phase ngapi? Na unajua unaanzia wapi? Au mmekariri hizo njia nne zilizozungumzwa leo? Tumieni akili.


Jiulize Jakaya na Uhuru walizindua alafu JPM na Uhuru wazindue tena?
 
Hapo ndio ujenzi ulianza? Na unajua huu mradi ulikuwa na phase ngapi? Na unajua unaanzia wapi? Au mmekariri hizo njia nne zilizozungumzwa leo? Tumieni akili.


Jiulize Jakaya na Uhuru walizindua alafu JPM na Uhuru wazindue tena?
Uzinduzi wa kwanza umeeksipaya.
 
Hapo ndio ujenzi ulianza? Na unajua huu mradi ulikuwa na phase ngapi? Na unajua unaanzia wapi? Au mmekariri hizo njia nne zilizozungumzwa leo? Tumieni akili.


Jiulize Jakaya na Uhuru walizindua alafu JPM na Uhuru wazindue tena?
Jibu nililokupa ni kutokana na swali ulilo uliza. Hukuniuliza una phase ngapi? Hukuniuliza unaania wapi?
Halaf kukuwe sawa tu ni kwamba sijakariri.
Nina details za mradi mzima.

Insort ni kuwa gambo amekuja juzi tu hapa. Huu mradi umeaanza way before wao. Usije anza kubend news ionekane kuwa yeye ndio alihusika. Hakunaga kitu kama hiyo man.
 
Hapo ndio ujenzi ulianza? Na unajua huu mradi ulikuwa na phase ngapi? Na unajua unaanzia wapi? Au mmekariri hizo njia nne zilizozungumzwa leo? Tumieni akili.


Jiulize Jakaya na Uhuru walizindua alafu JPM na Uhuru wazindue tena?
Uzinduzi wa kwanza umeeksipaya.
 
Jibu nililokupa ni kutokana na swali ulilo uliza. Hukuniuliza una phase ngapi? Hukuniuliza unaania wapi?
Halaf kukuwe sawa tu ni kwamba sijakariri.
Nina details za mradi mzima.

Insort ni kuwa gambo amekuja juzi tu hapa. Huu mradi umeaanza way before wao. Usije anza kubend news ionekane kuwa yeye ndio alihusika. Hakunaga kitu kama hiyo man.
Kwa hizo four ways hapo mjini amehusika 100%.
 
Sasa EAC ipo wapi, si inafanya kazi na Tanzania, au? Bila Magufuli hiyo EAC ingekuwepo?

Wewe dada ni punguwani. EAC imeletwa na Magufuli?? Au unazungumzia barara ya njia 4??

Nchii hii ina ushamba sana. Yaani barabara ya njia nne nayo ni maajabu? Haishangazi kuona tunapokea ndege!! Tunafanya ufunguzi wa mashimo ya vyoo!
 
Kuna ki

pindi nilikutana na injinia aliyeshiriki kufanya michoro ya hiyo barabara akiwa mwajiriwa wa EAC. aliniambia hii barabara inatakiwa ifike Holili na siyo Tengeru. Kwa ufupi design ilifanyika kabla hata Mrisho Gambo hajawa DC kule Korogwe. Kwa hiyo mh. ajitahidi asiwe kama Trump. Wafadhili ni African Development Bank (AfDB) kupitia EAC na siyo Arusha regional commissioner Office. Principal engineer wa EAC analijua hili vizuri sana kuwa hakuna mkono wa Gambo kwenye Hizi barabara mbili za Namanga Tengeru wala arusha Bypass
Huo ndiyo ukweli,magu anataka kutuingiza chaka!! Nimesoma hapa>A104, B141, and B143 roads).

The African Development Bank is lending US$232.5 million towards upgrading the A23 road, constituting 89.1 percent of the budgeted total cost. Kenya is contributing US$15.6 million, while Tanzania is contributing US$12.3 million.[4]

Construction of the A23 double carriage way between Arusha and Tengeru, Tanzania began in July 2013. The contractor is Hanil-Jiangsu JV, a South Korean construction company, The Cheil Engineering Company, also from South Korea, is the consulting engineer. Phase 2 of the project includes the upgrade to double carriage way of the road between Tengeru and Usa River, Tanzania. This work should be completed by December 2018.[5] Reconstructing the two-lane road connecting Usa River, Moshi, and Holili was part of Phase 2 originally.[5] A lack of funds, however, means that the reconstruction "is not in the immediate implementation plan" except that realigning the approaches to the Kikafu River bridge is still planned.[6] The design for a replacement bridge has been completed.[6]

Work on the Kenyan side of the A23 road commenced in May 2014, with Tanzanian President Jakaya Kikwete and Kenyan President Uhuru Kenyatta officially launching the project in September 2015.[7][8][9] Completion was scheduled for May 2017.[10]

Huyu mzee ni mwongo kumbe?
 
Back
Top Bottom